Natafuta mume jamani

Status
Not open for further replies.
 
Hapo kwenye kazi kama umeandika kwa msisitizo wa aina yake hivi
 
Bango lako mwabachuo wewe halina tofauti na mtu aliyeishia la saba tena anaweza kukuzidi.
.
.
All the best lakini.
 
Soma kwanza mdogo angu usikimbilie kubeba kontena wakati bado uwezo wako ni kiberiti.
 
siamini kama wanaume tumekua wakutafutwa hivyo
 
Tukikutanaga face to face mnakaza kweli as if msharidhika na maisha mkija uku mitandaoni ndo vichaka vya kujificha na kueleza shida zenu...sina uakika kama maeneo uliyopo umekosa mwanaume kabisa
 
Write your reply...mhitimu wa chuo mwenzako huko uingereza ambaye ni raia wa kenya KIJIOA mwnyew,

nawe fanya hivyo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…