Jamani Mimi ni msichana Nina miaka 21 natafuta mpenzi ambae anakazi miaka 24_26 awe mrefu kawaida ,mweusi si mweus sana awe anaakili ya kimaisha ili tujenge mahusiano Mimi niko chuo mwaka wa pili mwakani namaliza ko tutachunguzana kwa muda kabla ya ndoa very serious sitaki utani pia kama ni mwanachuo anachukua degree pia haina shida.
Mengine tutaoongea inbox uko aliye serious napatikana dar awe mkristo haswaaa ,,,,,,nimeweka no coz sim yangu inasumbua kuingia PM na kutoa comment jamani am serious nilitaka ni m pm kaka mmoja aliweka Uzi wake Borgan kama kuna mtu anaweza kuchukua no angu akamtupia pm anitafute so mbaya