Natafuta mume jamani

Status
Not open for further replies.
Kikubwa wanaume hawachukuagi namba za mademu kama hawajaomba.. Mim mmoja wapo
 
We jamaa nimeshakuona unataka season za JF ziwe fupi sana wakati wapo watoa stress wengine humu humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tatizo wanafunzi wanasumbua sana... Yani hapa unaweza kuta ukawa mbadala wa matumizi
Hahahaaa hiyo ndio kazi ya pesa siku hizi ukitongoza lazima uonyeshe bank statement kwanza ya miez 3 iliyopita wakat ukiendelea kufikiriwa
 
baba ako anajua unatafuta mme?
pumbav soma kwanza, mapenz na shule haviendani
 
Fresh man chana makavu kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…