Natafuta mume jamani

Natafuta mume jamani

Status
Not open for further replies.
Kikubwa wanaume hawachukuagi namba za mademu kama hawajaomba.. Mim mmoja wapo
 
et dada nasikia watu wanalizana humu kwa mada kama yako hivi uko chuo hakuna mume kweli uliyemuona anasifa kama uzitakazo au hakuna kabisa unayempenda chuo kizima au hata katika mtaa unaoishi ? tatizo la wanawake wengi wakimpenda mwanaume wanataka et ndio mwanaume aje akutongoze unakuta mwanaume mwingine ajui kama unampenda masikini binti wa watu mimi naamini chuoni au mtaani uko wapo uwapendao waambie tu ukweli kuliko kuja huku yani uku kuna actors and actress et nimeskia aya nakutakia kila la kheri
We jamaa nimeshakuona unataka season za JF ziwe fupi sana wakati wapo watoa stress wengine humu humu 😂😂😂😂😂😂
 
Tatizo wanafunzi wanasumbua sana... Yani hapa unaweza kuta ukawa mbadala wa matumizi
Hahahaaa hiyo ndio kazi ya pesa siku hizi ukitongoza lazima uonyeshe bank statement kwanza ya miez 3 iliyopita wakat ukiendelea kufikiriwa
 
baba ako anajua unatafuta mme?
pumbav soma kwanza, mapenz na shule haviendani
 
et dada nasikia watu wanalizana humu kwa mada kama yako hivi uko chuo hakuna mume kweli uliyemuona anasifa kama uzitakazo au hakuna kabisa unayempenda chuo kizima au hata katika mtaa unaoishi ? tatizo la wanawake wengi wakimpenda mwanaume wanataka et ndio mwanaume aje akutongoze unakuta mwanaume mwingine ajui kama unampenda masikini binti wa watu mimi naamini chuoni au mtaani uko wapo uwapendao waambie tu ukweli kuliko kuja huku yani uku kuna actors and actress et nimeskia aya nakutakia kila la kheri
Fresh man chana makavu kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom