Natafuta mume Mbena au Muhehe

Nakujahuko pm ila nnamiaka25 naenda wa 26[emoji2958]
 
gumthread unanilenga kabisa...wacha nizame gumPm
 
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo. Mume wa mtu hapana.
Vipi bado yupo huyo muhehe ? Au umeshamvuruga amejinyonga.
 
Natumae mleta mada ulipata muongozo...
 
Wabena na Wahehe mnahitajika hapa, Mungu akupatie hitaji la moyo wako.
 
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume anapatikana sehemu yoyote ile. Hitaji langu kubwa ni hilo. Mume wa mtu hapana.
Nene ndigaga twibaanye hela, uuse mwigati (inbox)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…