Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Njoo pm chapu mke wangu mtarajiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nafikiri madhehebu yao hayawaruhusu kuwepo humu.Jf wasabato ni adimu sana...wahi kanisani mwaya
HahahahaNi umri sahihi ila Sio wa kutafuta mwanaume mitandaoni, Huku kny mitandao ni kwa sisi mashangazi
Noma sanaWa vyuoni kwa kawaida huwa matapeli. Wanawaoa kabisa hawa mabinti halafu wanawatelekeza matokeo yake ndo haya. Mabinti wadogo 24yrs wanahaha mitandaoni kutafuta waume kisa tu mioyo ina maumivu.
Wasabato mna masharti sanaKama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo:
Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote.
Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea
Awe msomi angalau kuanzia Diploma
Awe maji ya kunde au mweusi
Awe na chanzo halali cha kujipatia fedha
Awe na umri kwanzia 27 mpaka 34
Asiwe na mtoto
Asiwe mnene sana au mwembamba sana
Awe mwadventista msabato.
Kabila lolote lile sawa, kikubwa pia awe mwenye upendo wa dhati na awe mpole.
Sifa zangu:
Nina miaka 24, nipo Dar, elimu yangu ni Bachelor Degree, nimeajiriwa Serikalini kwa sasa, mwonekano wangu nina urefu wa 5.5ft mwili wa kawaida, mweupe kwa rangi.
Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM
Hatimaye Carasco Putin umefikiwaAwe mwadventista msabato.
Huyu dogo waruwaru hawezi kuwa msabato, labda awe classmate wa mtoa mada😂Hatimaye Carasco Putin umefikiwa
🤣🤣🤣 kuna Jmosi moja ya Sabato alitubless kabeba Biblia anaenda kanisani, ila kikweli hana swaga za kisabato kabisaHuyu dogo waruwaru hawezi kuwa msabato, labda awe classmate wa mtoa mada😂
Dogo muhuni kabisa japo Carasco Putin sio mtukanaji isipokuwa masihara tu😂🤣🤣🤣 kuna Jmosi moja ya Sabato alitubless kabeba Biblia anaenda kanisani, ila kikweli hana swaga za kisabato kabisa
🤣🤣🤣Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM
Uhuni mwingi ila mtu mmoja poa sana hana baya na mtu 😊Dogo muhuni kabisa japo Carasco Putin sio mtukanaji isipokuwa masihara tu😂
Yes namwelewa siku hizi, hana bayaUhuni mwingi ila mtu mmoja poa sana hana baya na mtu 😊
Ha ha ha.... kwani Utaki mke mkuu[emoji1]usabato huo niutoleee wapi jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu dogo waruwaru hawezi kuwa msabato, labda awe classmate wa mtoa mada[emoji23]
Amekwambia anafanya kazi m E24yrs ur still young kutafuta huku online
Maliza kwanza chuo dogo
mke nataka sana illa nilishampata Aaliyyah sema nae ndio hivyo anajivuta kuchangia mifuko ya cement tumalizie gheto tuhamie.Ha ha ha.... kwani Utaki mke mkuu[emoji1]