Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaMambo bebi
Sijambo sijui weye.Hujambo mrembo???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya ma-inzi haya wewe hujui yametukosea nini sisi???
Haya nipitishiemo yoyote itakayokupendeza..[emoji847]Uipendayo...nakupitishia hapo kino.
Yaani unaniacha mimi unatuma malavidavi kwa hilo jinga kubwa??? Kwa kweli unaniskitisha sio siriSijambo sijui weye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Relief wewe[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
We hautafuti nijitolee huko wanako ita PMKila la kheri mwaya japo kwa ushauri tu ukiona mitandaoni hakuna mafanikio geukia na upande mungine.
Mimi mzima sana yna2 Sijui weweSijambo sijui weye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Relief wewe[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
We mrembo.
duh sio kwa povu hilo, ulikataliwa nini mkuu au umefungiwa PM [emoji28][emoji28][emoji28]
DuuuhMambo bebi
Haha. Usijali nikipost tu nakutag uwe wa kwanza kuonaNakuona pale juu ulivyocheka hahahahaahaha.
Anyway, ukitaka kufungua huo uzi nishtue kwanza ili nkuwahi mimi kabla mabaharia hawajakuwahi
Namimi nitakuwa shahidi.Haha. Usijali nikipost tu nakutag uwe wa kwanza kuona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh sio kwa povu hilo, ulikataliwa nini mkuu au umefungiwa PM [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mzima..nafurahi kusikia u mzima relief.Mimi mzima sana yna2 Sijui wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani unaniacha mimi unatuma malavidavi kwa hilo jinga kubwa??? Kwa kweli unaniskitisha sio siri
Nakujaa
Upande mwingine upi?Akatongoze huko mtaani?Kila la kheri mwaya japo kwa ushauri tu ukiona mitandaoni hakuna mafanikio geukia na upande mungine.