Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Maria92
Nini unachowaza?
Kwanini unakataa tamaa mapema?
Shida nini mama yangu?
Nimesoma thread yako hakika nimesikitika sana kwa 100%. Jitafakari upya maisha hayako hivyo kama unavyofikiria. Kama thread yako umeandika kama comedy sawa ila kama upo serious. Umepotea mdogo wangu kwa 100%. Umechoka kuumizwa na watoto wadogo kwahiyo ulikuwa unatembea na vijana wa umri 23 kushuka chini? Kiukweli mpaka hapo ulipofikia naona hauko sawa kiakili. Hivyo inabidi utafute mtaalamu wa masula ya psycholojia akushauri.
Usiku mwema
Nini unachowaza?
Kwanini unakataa tamaa mapema?
Shida nini mama yangu?
Nimesoma thread yako hakika nimesikitika sana kwa 100%. Jitafakari upya maisha hayako hivyo kama unavyofikiria. Kama thread yako umeandika kama comedy sawa ila kama upo serious. Umepotea mdogo wangu kwa 100%. Umechoka kuumizwa na watoto wadogo kwahiyo ulikuwa unatembea na vijana wa umri 23 kushuka chini? Kiukweli mpaka hapo ulipofikia naona hauko sawa kiakili. Hivyo inabidi utafute mtaalamu wa masula ya psycholojia akushauri.
Usiku mwema