Natafuta mume mtu mzima

Hiv toka uanze mahusiano hujawahi kumuumuza mtu?Ni ww tu ndio unaeumizwa?
 
Huyo wa miaka 50-60 hajaoa mpaka leo atakuwa na tatizo
Au alishavurugwa
 
Hamna cha kuchoka wala nn sma hela mama maana wazee walishajijenga ko unauhakika ukipata hyo tabu kwisha
 
Sema tuu unataka libaba la kulichuna ueleweke, maana vijana hata akuhonge ml1 balaa lake unaona kama umepewa mia mbili, pole
 
Yaani! We acha tu nilishapata. Nami nilitafuta kuanzia 30 kwani dogo wanasumbua sana.
 
Mimi nina miaka 30 kama utanikubari nataka tukatangaze ndoa kesho yake. Nataka nikutoe ofu hapo vepee flesh au
 
Sijui nini kimekukuta! Kuna kitu hapo. Sitaki hata kuuliza vijana wangapi wamekuumiza. Hayanihusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…