Natafuta mume mtu mzima

Unatafuta baba wa kufikia au unatafuta mume?

Kweli dunia gunia
 
Udangaji huu ni wa aina yake...
Hapo ni baba na mtoto au babu na mjukuu.

Sasa kukuumiza Je, anakutoa damu (vidonda) kila siku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh! Unaona mbali yaani hapo kama ana 60 ina maana akiwa na 80 wewe una 46 ndo kwanza kabinti jamaaa anakufa unabaki ma mali GOOD!!
 
50-60
hajawai kuoa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ngoja nije uko PM [emoji41]
 
Laana nyingine mbaya sana! mtu hujawahi olewa unahitaji alofiwa na mke?
 
Mrejesho vipi.. Ila nisubilie mimi miaka kama 26 ijayo ntakuwa natimiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…