Natafuta mume mtu mzima

Natafuta mume mtu mzima

Unataka kuolewa baba ako ili ugundue nini ?? [emoji51][emoji51][emoji51]
 
Kwa umri wanaume wengi wanawake zao,labda uwe kimada au mke wapili
 
Wewe unataka tu ufaidi mafao yetu ya uzeeni na hao vijana wenzako! Huna lolote.
 
Huo ni umri wa mtu kuelekea kustaafu. Wewe sema tu unataka kula pension za kibabu cha watu basi.

Ila ndugu zake lazima wakuroge. hapo ndio utajua hujui
 
MTU mzima wa miaka 60 una kazi nae IPI mkuu?zaidi ,,,maana kipindi hicho hata MSHALE WA SAA UNATEMBEA KWA TIMING..
 
Daaah umewahi kukata tamaa jichunguze kwanza huenda una kasoro. Pole sana utampata.
 
Hapa unafanya utafiti ya shahada ya master au phd? Sema tukupe data
 
Zinapigwa Sana hizi huko chuo,unakuta umri ndo huo lakini down kushazeeka kiasi kwamba anaona uvivu sometimes kutoa papuchi.Sasa baada ya hali hiyo na unakuta anapa kijana ambaye ana-mood ya kutosha,halafu mgawa papuchi kashachoka yaani anatoa papuchi kwa masharti kutokana na u-used wake.Pia huo u-used anaufanya halafu kutoa ppch kunakuwa na mlolongo wa ma-defence ambayo siyo somo linaloeleweka kwa wachakataji,hiyo ndiyo sababu ya kujiliza kitaani na makashifa meengi kumbe tu ni defense mechanism against u-used.
Nakuombea sana... Usiwalaumu sana vijana bado damu inachemka na hawajajua kwamba ladha ni ileile
 
Umri:

Mtoto= 0-18

Kijana= 19-35

Mwanaume/Mwanamke= 36-60

Babu/bibi= 61-kifo

Nakukumbusha, mapenzi ni hisia!! Kila la heri.
 
Maelezo yako tu uloyatoa ushaonyesha kuwa wewe ndo una matatizo makubwa katika mahusiano kuliko hao ulokutana nao,hebu jirekebishe kwanza halafu uone matokeo yake.
 
ukimpata huyo wa miaka 50 mpaka 60 uje utupe mrejesho tufunge uzi maana tunaoumia ni sisi wa 20 mpaka 30 😆 😆
 
Kama bado hujapata hitaji la moyo wako mimi nataka nikucomfort.
Nina miaka 37 nataka ue mke wa pili(mchepuko) nitakupa Haki zote sawa na mke mkubwa. Pm ipo wazi kwa ajili yako. Nakusubiri
 
Back
Top Bottom