Habarini, wanaJamii,
Mimi ni msichana umri 28_30, ni mkristo, nina elimu ya Chuo kikuu, nina tafuta mume mkristo mwenye hali kam yangu, awe na miaka kati ya 30_40.
MWENYE SIFA ZIFUATAZO:
Awe ana kazi ya kumuingizia kipato, awe mrefu maji ya kunde, awe mkristo, awe tayari kufunga ndoa takatifu, asiwe anatumia kilevi, awe hajawai kuoa, awe ajaugua kwa miaka mingi coz mimi nina miezi kadhaa na bado sijatumia dawa.
N:B ALIYE SERIOUS ANITAFUTE COZ NIKO SERIOUS NA HILI NAPATIKANA DAR nicheck on my email jenitzjeni@gmail.com, sichagui kabila.
Mimi ni msichana umri 28_30, ni mkristo, nina elimu ya Chuo kikuu, nina tafuta mume mkristo mwenye hali kam yangu, awe na miaka kati ya 30_40.
MWENYE SIFA ZIFUATAZO:
Awe ana kazi ya kumuingizia kipato, awe mrefu maji ya kunde, awe mkristo, awe tayari kufunga ndoa takatifu, asiwe anatumia kilevi, awe hajawai kuoa, awe ajaugua kwa miaka mingi coz mimi nina miezi kadhaa na bado sijatumia dawa.
N:B ALIYE SERIOUS ANITAFUTE COZ NIKO SERIOUS NA HILI NAPATIKANA DAR nicheck on my email jenitzjeni@gmail.com, sichagui kabila.