Ni kweli maana hili gonjwa ni la hatari sana. Usipokufa ww na ukimwi basi mkeo, km siyo mkeo, mwanao km siyo mwanao, mjukuu km siyo mjukuu basi kitukuu.Lispokupata wewe litampata mwanao , utajilinda wewe lakini hutomlinda mkeo . Sio wote wanaopata hili tatzo ni wamejitakia wengne wanajilinda kama wewe lakini ndo hivyo tena yanawakuta ya kuwakuta ..
tujaribu kuwa na lugha nzuri tu
ume assume alingonoka ndio akaupata. ingekuwa hivo angerudi kwa aliyemuambukiza wayajenge maishaNdio maana tunasisitizwa tumkumbuke Mungu wakati wa ujana wetu.. Ujana ni maji ya moto jmn, yanapotukuta ndio huwa tunamkumbuka Mungu. Mungu akakusaidie na ukapate haja ya moyo wako, mkatumikie Mungu daima
welcome holy holy hali uliyonayo sio tatizo kuweza kutimiza marengo yako yoyote ikiwamo na kuwa na familia nakutakia kila la kheri kutimiza matamanio yakoMungu awabariki wote kwa comments zenu haijalishi ni mzuli au mbaya but nmejifunza na nmepata new idea asanteni
Wewe utakuwa kati ya wale wasiomwamini Mungu.Kupona?
Nani aliwahi na kuthibitishwa?
Acha use......e wew.
Muache ajui tu mimi kuna watu nawafahamu wanaishi naukimwi toka nikiwa bado mdogo ila chaajabu wazima wanakufa kwamaradhi mengine wanawaacha walio naukimwi wakiendelea bado kupetaWewe ni nani mpaka ujue atakufa mapema na kuacha watoto !!!
Hana akili huyo! Hajui kwamba wote tutakufa tu iwe mapema au late vyovyote vile tutakufa na kuacha watu nyuma wakituliliaAcha kuvunja watu moyo,aliokwambia kuwa muathirika wa ukimwi ndio kufa mapema ni nani?fikiria mara mbili kabla ya kuandika mkuu
Daaah mkuu bado unaamini ukimwi unaambukizwa kwa ngono pekeeKwani alokuambukiza kenda wapi???
Kwann asikuoe??
Au Hana kaz
Hiyo ndo njia kuu ya maambukizDaaah mkuu bado unaamini ukimwi unaambukizwa kwa ngono pekee
Kwani dawa wanameza tu pindi wagunduapo wana Vvu au mpaka cd4zishuke?Test and treat anza dawa mara moja mume atakuja
Ni mpaka cd4 zishuke.Kwani dawa wanameza tu pindi wagunduapo wana Vvu au mpaka cd4zishuke?