Natafuta mume mwenye VVU

Natafuta mume mwenye VVU

Kwanini unataka kupata familia, mpate watoto baada ya muda muwaache yatima wakisumbuka na ulimwengu? Huoni utakuwa umekidhi haja yako kwa kuzalisha huzuri sehemu nyingine. Labda msipate watoto.
Wewe unajua utaishi miaka mingapi? Be careful unaweza ukatangulia wewe mkuu!
 
Ni mpaka cd4 zishuke.
Ila ukipima mapema na kuwa karibu na kituo cha afya inasaidia kupata uangalizi wa karibu na pia kupata dawa za kuponya magonjwa nyemelezi au kutuliza maumivu ya sehemu zinazo uma.
Wengi wanalazimika kupima wakati wameshazidiwa na magonjwa hata wakipewa dawa haziwasaidii na wanakufa mapema.

NB
Sio jambo jema kutoa Lugha za kebehi kwa waathirika. Maisha bado yapo.
Sasa hapo nimekebehi wapi ?
 
Sasa hapo nimekebehi wapi ?
Sio wewe uliokebehi, kuna mjamaa mmoja hivi amemkebehi huyo mtoa mada.
Kwamba amtafute aliyemwambukiza ndio amwoe.
Katumia lugha kali kidogo.
Waathirika wapo katika hali ya majonzi ya kuto furahia maisha hivyo wanahitaji maneno mazuri ya kuwafariji.
Maisha bado yanaendelea
 
Lakini hayo masharti ya aina ya mwanamume na kazi na urefu. Huoni Usaniii. Huo. Mtu aliyechanganyikiwa bado ana vigezo. Upendo gani unakuwaga na sifa za nje .moyo huongea. Hao Wa urefu. Ufupi ni tamaa.
 
Lakini hayo masharti ya aina ya mwanamume na kazi na urefu. Huoni Usaniii. Huo. Mtu aliyechanganyikiwa bado ana vigezo. Upendo gani unakuwaga na sifa za nje .moyo huongea. Hao Wa urefu. Ufupi ni tamaa.
Umenifumbua macho.
Huyo ni mwongo, kama ulivyohisi, anasema anataka ndoa takatifu, wapi maneno matakatifu yalisema mwanaume mweusi au mfupi sio mume bora ?
Je Mungu akimletea mume mrefu mweusi atafanyaje ?
Maneno matakatifu hayabagui rangi au kimo cha mtu.
Huyo dada mleta mada anaweza kuwa ni msanii kama wasanii wengine ila ajue Mungu anamwona kwa kuongopa kuwa ni mgonjwa wa h i v.
Wakati waathirika wanahangaika kutafuta dawa ya kuwatibu yeye analeta dhihaka.
Mimi nimemsamehe kwani hajui alitendalo.
 
Sio wewe uliokebehi, kuna mjamaa mmoja hivi amemkebehi huyo mtoa mada.
Kwamba amtafute aliyemwambukiza ndio amwoe.
Katumia lugha kali kidogo.
Waathirika wapo katika hali ya majonzi ya kuto furahia maisha hivyo wanahitaji maneno mazuri ya kuwafariji.
Maisha bado yanaendelea
Kwenye swala zima la ukimwa ukimkebehi au kumcheka mwenye VVU zitakuwa hazikutoshi akili hamna mtu anapenda kufikwa na janga.
 
Wapo wansomtukana wuyu Mrembo lakini wao watakufa mwaka huu, Wengine mwakani n.k. Yeye Holyholy pengine ana miaka 50 mbele +29=79.

Wapumbavu Kabisa.
 
Hi!

Naitwa holyholy nina miaka 29. Nina elimu ya Chuo kikuu but bado sijapata ajira.

Niko hapa kutafuta mume mwenyewe umri kuanzia miaka 32-40 aliye na hali kama yangu mimi. Nina miezi kadhaa toka nigundulike na bado sijaanza kutumia dawa.

Natafuta mwanaume mkristo,mwenye kazi ya kumuuingizia kipato,awe tayali kufunga ndoa takatifu, awe mrefu, maji ya kunde, asiwe mlevi na pia awe ana hofu ya Mungu.

NB: Aliye serious anitafute kwenye e-mail yangu claudiaforum2018@gmail.com
Utapata tuu Dada,
tena ata asie na vvu kama mimi
sema wengine cc age bellow ya hapo,
Uc ckilize matusi yao..
 
Ukipata nafas pitia na huku
20180310_071245.png
 
Kwanini unataka kupata familia, mpate watoto baada ya muda muwaache yatima wakisumbuka na ulimwengu? Huoni utakuwa umekidhi haja yako kwa kuzalisha huzuri sehemu nyingine. Labda msipate watoto.
Hivi ulichokiandika hapa ni mimi tuu ndio sijaelewa au!?
 
Hi!

Naitwa holyholy nina miaka 29. Nina elimu ya Chuo kikuu but bado sijapata ajira.

Niko hapa kutafuta mume mwenyewe umri kuanzia miaka 32-40 aliye na hali kama yangu mimi. Nina miezi kadhaa toka nigundulike na bado sijaanza kutumia dawa.

Natafuta mwanaume mkristo,mwenye kazi ya kumuuingizia kipato,awe tayali kufunga ndoa takatifu, awe mrefu, maji ya kunde, asiwe mlevi na pia awe ana hofu ya Mungu.

NB: Aliye serious anitafute kwenye e-mail yangu claudiaforum2018@gmail.com
Njoo pm nikuelekeze sehem
 
Aisee, sina iyokitu ila vigezo vyote nimetimiza
 
Back
Top Bottom