Natafuta mume, nina miaka 24

Natafuta mume, nina miaka 24

Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Wewe katoto ningekuja ila nitakuwa nakubemenda bure maana japo unataka wanene ila huu mtambi wangu hautaweza kuhimili
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Wewe ni kabila gani mkuu?
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Njoo inbox
 
𝐍𝐢𝐩𝐨 𝐮𝐦𝐫𝐢 34 𝐛𝐚𝐝𝐨 6 𝐧𝐢𝐟𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐞 𝐯𝐢𝐠𝐞𝐳𝐨 𝐮𝐯𝐢𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐯𝐲𝐨, 𝐧𝐢 𝐦𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐮𝐧𝐞𝐧𝐞 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐦𝐛𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐯𝐢𝐦𝐞𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐧𝐲𝐢𝐤𝐚𝐧𝐚, 𝐬𝐢𝐲𝐨 𝐦𝐰𝐞𝐮𝐩𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐮𝐬𝐢. 𝐈𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐤𝐫𝐢𝐬𝐭𝐨. 𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐦𝐤𝐮𝐥𝐢𝐦𝐚, 𝐤𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐮𝐤𝐢𝐧𝐢𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐮𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐩𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐚𝐧𝐢. 𝐇𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐮𝐜𝐡𝐮𝐦𝐢 𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐧𝐢. 𝐄𝐥𝐢𝐦𝐮 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐢 𝐝𝐚𝐫𝐚𝐬𝐚 𝐥𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐮. 𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐤𝐨 𝐭𝐚𝐲𝐚𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐠𝐞𝐳𝐨 𝐯𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐯𝐢𝐬𝐢𝐯𝐲𝐨𝐤𝐢𝐝𝐡𝐢 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐮𝐧𝐢 𝐏𝐌.
𝑨𝒔𝒂𝒏𝒕𝒆!
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Ushapata ?
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
?
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Njoo dm
 
Mi mwembamba chini ya miaka 30 naona kabisa unanifaa achana na watu wanene wa miaka 50
 
Atakuwa amewalenga wenye financial stability

Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria [emoji28][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Pafu sana umefanya nicheke kwa sauti. Dk 40 hivi dogo kaniambia kuna deal analisikilizia
 
Wazee wasifurahie hii huyu ni Chugagirl. Anakudedisha. Anakaa eda. Anasepa na mali zako. Mtauawa kwa heart attack [emoji2089][emoji2089]
 
Sema ID yake ina siri nzito Mydevran . Hii ni My Dev ran.
Inamaana Dev alimkimbia huyu binti. Wavulana mnaharibu sana. Wanawake achane na wavulana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Pafu sana umefanya nicheke kwa sauti. Dk 40 hivi dogo kaniambia kuna deal analisikilizia
Hahaha..........huyo wa deal anaisikilizia ndiyo Wanawake wengi huwa hawawataki.

Ndiyo maana wengi wanapenda Me wa miaka 40 and above
 
Back
Top Bottom