steve the great
Member
- Oct 19, 2019
- 21
- 12
Nitafute kwenye namba hi 0654317732Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Hata kujificha makucha kashindwa analenga kupata mstaafu kuirahisishia maishaWakati unakula ujana ulisema hutaki kuolewa sasa baada ya kuzalishwa na uzee unakaribia ndio unatafuta mchumba kwani wale uliokuwa nao ujanani hawakutaki kwa nini.
wa miaka 70 alishakula pensheni ikaisha maana alistaafu akiwa 60. Utaweza kumtunza?Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Unawala kimasihara mnoo na wanaambiana mkuuπ€£π€£Kila la kheri. upate haja ya moyo wako.. shida sina zari na wa humu kila nilitupa ndoana hainasi
Hadi 70 π€£π€£π€£π€£π€£π€£ unataka mafao?Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Kama kakujibu nistueMwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji π€
Wewe kinywaji unapatiaga wapi Madame?Pia usisahau kuwa unajitoa out unaenda kukaa sehemu nzuri kabisa unapata kinywaj8 chako, ukiwa unajifungia ndani, hamna kaka atakayekuona.
π π π Na inasimama kwa maringo na walioabuse wakati wa ujana hata kusimama haipoMiaka 70 Aisee ni kikongwe
ππππ Kwamba wakiwa wanafanya nini?Amfie Kwa bed buree
Shida iko wapi jamani?? Mstaafu hatakiwi kuwa na mwenza?Hata kujificha makucha kashindwa analenga kupata mstaafu kuirahisishia maisha
π π π Miaka 100 Sasa hata jf anaweza kusoma?Nyie mnakatisha watu tamaa kwa comment zenu si nzuri ...kwani ata akiwa na miaka 70 akinifia sawa ujue ilipangwa na mungu maneno yenu yanazidi nitia nguvu ....alfu naongezea miaka ata awe na miaka mia ni sawa tukiriziana [emoji57][emoji57][emoji57]
ππππ π π Na inasimama kwa maringo na walioabuse wakati wa ujana hata kusimama haipo
Watu Wana mission zao. Wanataka wapite na mafao ya watu π πUmesema mpaka 70?
Nami nataka wa kuzeeka naeWatu Wana mission zao. Wanataka wapite na mafao ya watu π π
Weka tangazo lako, tuanze kuleta maombi. Hakikisha unanitag ili niwahi kufika kabla ya wengineNami nataka wa kuzeeka nae
πmtanisamehe msiponielewa iviivi ila tangano siwekiWeka tangazo lako, tuanze kuleta maombi. Hakikisha unanitag ili niwahi kufika kabla ya wengine
π π π Tutajuaje kama Jimbo lipo wazi?πmtanisamehe msiponielewa iviivi ila tangano siweki
Kwa masikitiko makubwa, hakunijibu Mkuu πππKama kakujibu nistue
Mtajijua kama mwaangalia kwa macho tuππ π π Tutajuaje kama Jimbo lipo wazi?