πππππUnatafuta mume? Weka uzi utajua kama natafuta wa pili ama la!. Kwetu sisi ni Sunna kuwa na wake wengi.
Hata mimi sikutaki. π€£π€£π€£π€£π€£πππππ
Hapana sitafuti mume kaka murogi
Hata kama ningekua natafuta mume wewe akhaaaaa
Naenda ndio na komwe languπππππHata mimi sikutaki. π€£π€£π€£π€£π€£
Peleka huko
Kile kitabu Mfalme Suleiman alijua kutunga mistari, yaani ukimshushia Mwanamke lazima akubali tu π€ͺπWagalatia tukasome Wimbo ulio bora. Hapa hamna chenu.
Uzi uliopita ulikuwa una mdogo wako ana umri wa miaka 33 . Means wewe ni above 33 . Leo unatafuta mme ukiwa na umri wa miaka 30 . Unafeli . Wishing you the bestHabarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
Inshallah!haya Men wote waislamu kazi kwenu, hiyo hapo chombo kwa hewa.
Na kuna uzi unazungumzia eti hata uwe na mrembo vipi, kombe lazima liwemo. Watu wa Kule kwenye Mbege.Naenda ndio na komwe languπππππ
Tatizo haujasema upo mkoa gani, toa location.Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
HEwa imepatiana chombohaya Men wote waislamu kazi kwenu, hiyo hapo chombo kwa hewa.
We hutaki mume?Kila la kheri
Sio Kwa Sasa nitafikiria huko mbele ya safariWe hutaki mume?
Bas sawaSio Kwa Sasa nitafikiria huko mbele ya safari
Allah atakufanyia wepesi.Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
Unatafuta mume WA kuishi nae au unatafuta mume nusura ifanyike.?Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
ππππNa kuna uzi unazungumzia eti hata uwe na mrembo vipi, kombe lazima liwemo. Watu wa Kule kwenye Mbege.