Natafuta mume, nina miaka 30

Unatafuta mume? Weka uzi utajua kama natafuta wa pili ama la!. Kwetu sisi ni Sunna kuwa na wake wengi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana sitafuti mume kaka murogi
Hata kama ningekua natafuta mume wewe akhaaaaa
 
Uzi uliopita ulikuwa una mdogo wako ana umri wa miaka 33 . Means wewe ni above 33 . Leo unatafuta mme ukiwa na umri wa miaka 30 . Unafeli . Wishing you the best
 
Tatizo haujasema upo mkoa gani, toa location.
 
Allah atakufanyia wepesi.
 
Unatafuta mume WA kuishi nae au unatafuta mume nusura ifanyike.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…