Natafuta mume, nina umri wa miaka 25

Natafuta mume, nina umri wa miaka 25

Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
  • nina umri wa miaka 25
  • naishi Dar
  • ni mjasiriamali
  • sina mtoto/watoto
  • Elimu ni certificate.
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
Kabila
 
Me naomba niulize swali, hivi unataka kuniambia kuwa katika jamii ulio ishi, hujabahatika kuona mwanamume wa kukuoa, maana naonaga wanawake ndy huwa wanafwa na wanaume weng? au ni mtazamo wangu finyu
Amekuja humu kila mtu ana gari na nyumba ataki bodaboda
 
Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
  • nina umri wa miaka 25
  • naishi Dar
  • ni mjasiriamali
  • sina mtoto/watoto
  • Elimu ni certificate.
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
Karibu pm nami nahitaji mke
 
Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
  • nina umri wa miaka 25
  • naishi Dar
  • ni mjasiriamali
  • sina mtoto/watoto
  • Elimu ni certificate.
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
Karibu ushanipata kuja PM
 
Nakuombea upate hitaji la moyo wako
Alafu mshana hivi uwezi kuunganisha hapo 😂😂😂😂😂🙌 😂🙌
Maana kila siku wewe ni kuniahidi tuu kuwa utashughulikia ila wapi...

Na mimi nipo dasalam mkuu fanya kitu hapo nakuomba mkuu
 
Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
  • nina umri wa miaka 25
  • naishi Dar
  • ni mjasiriamali
  • sina mtoto/watoto
  • Elimu ni certificate.
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
Nichek
 
Back
Top Bottom