Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
KabilaNinahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
- nina umri wa miaka 25
- naishi Dar
- ni mjasiriamali
- sina mtoto/watoto
- Elimu ni certificate.
Amekuja humu kila mtu ana gari na nyumba ataki bodabodaMe naomba niulize swali, hivi unataka kuniambia kuwa katika jamii ulio ishi, hujabahatika kuona mwanamume wa kukuoa, maana naonaga wanawake ndy huwa wanafwa na wanaume weng? au ni mtazamo wangu finyu
Karibu pm nami nahitaji mkeNinahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
- nina umri wa miaka 25
- naishi Dar
- ni mjasiriamali
- sina mtoto/watoto
- Elimu ni certificate.
Karibu ushanipata kuja PMNinahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
- nina umri wa miaka 25
- naishi Dar
- ni mjasiriamali
- sina mtoto/watoto
- Elimu ni certificate.
Alafu mshana hivi uwezi kuunganisha hapo ππππππ ππNakuombea upate hitaji la moyo wako
Mnapenda TV za Chogo ila home mmetundika flat screen?Chura ipo?
NichekNinahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu..
Kuhusu Mimi;
Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
- nina umri wa miaka 25
- naishi Dar
- ni mjasiriamali
- sina mtoto/watoto
- Elimu ni certificate.