Natafuta mume njoo tuyajenge

Tarehe 4 march nilikupm kwa ombi lako hukunijibu,hauko serious!
 
msema kweli mpenzi wa mungu ,kuumizwa Tayari,kujituma naweza,sauti ya kubembeleza ninayo,mapenzi ya dhati ninayo,ila umri ni chini ya hapo,na sifa zilizobakia sina.
 
Awe ameumizwa unataka awe na makovu mangapi,majeraha yawe yamepona au awe na vidonda vibichi? Umemuandalia giv,iodine,pamba na nn kingine?
 
Kipengele cha dini hakihusiki?
 
Awe ameumizwa....

Awe kacheza kachoka.

Hawa hawachokagi aisee. Na wakiumia thry rise like the phoenix just badder.

Re-analyze what you want hun.
 
Come baby to my PM.
 
Awe ameumizwa....

Awe kacheza kachoka.

Hawa hawachokagi aisee. Na wakiumia thry rise like the phoenix just badder.

Re-analyze what you want hun.
Mimi nimechoka sissy..
 
Unayemtaka lazima awe ameoa aisee . . , kwa sifa ulizotaka awe nazo . . ?!

Nipo mimi kama sifa hizi utaona zinakufaa . . , najua kubembeleza ile mbayaaa . . , masaji masaji mie ndio mwalimu . . , najua kupika saaana . . , nna lamba 0713 na "sambusa" kama mwehu . . , size yangu kama inch 6.5 hivi . . ! [emoji13]

Ukinikubali ntakujengea nyumba juu ya mlima Kilimanjaro . . , tena kwa jina lako . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…