Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

Umejawa na tamaa.. mwanaume huyo awe handsome? Au agrly face? Six packs au kitambile? Mbo.o je iweje ndefu,fupi,bamia,nyoka au Kifutu??

Je ukikosa m.boo nzr si utafanya kolabo....

Malaya je? Unatafuta Malaya mwenzio?

Omba Mungu upate mwanaume anayejitambua(martured). Huyo nde mwenye sifa zote. Hata akiwa jobless akijitambua inatosha.

Ni kosa kufanya hivyo.... Nina maisha 20 yrs ya ndoa.. sijatafuta MTU uliyetaja... zaidi nimeomba Mungu
Mzee achana na kiingereza

Agrly

Martured

Narudia tena achana na kiingereza
 
Hi Abbyrashel mi nimekufeel Ila Sina kazi damnn
 
Ushakosa mume hapo uliposema una umbo la Kitanzania 😅 na hivi umetokea kaskazin embu tuache kwanza, sisi tunataka maumbo ya kibantu
 
Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Pisi za chuga hamjui mapennz wakorofi kama nn
 
Jamani tuache kuwabeza dada zetu.kumbukeni hata nyie mna dada na watoto wa kike,ukiona mtu anatafuta mme humu mjue ana hitaji kweli,tujifunze kuwavumulia na kuwahurumia,tunatumia ID fake humu usikute ni dada zenu,kumuuliza kama ana marinda ni udhalilishaji
Pole sana dada.
Njoo pm mi pia sina mke
😂Point ni kuja pm
 
Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Safi sana
 
Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Nipo hapa nimekiziiii vigezo vyote
 
Back
Top Bottom