Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nitafute ufanye utalii.Utanikuta nimepozi navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.Kuna watu Wana rangi za zambarau 😂iyo itakuwa shombe la kinyakyusa na kihehe🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute ufanye utalii.Utanikuta nimepozi navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.Kuna watu Wana rangi za zambarau 😂iyo itakuwa shombe la kinyakyusa na kihehe🤣
Eeeeh sophy, ibabidi ufanye namna na hili shombe🤣🤣Shombe la kipare🤣🤣
Kwakweli ngoja nifanye utaratibuEeeeh sophy, ibabidi ufanye namna na hili shombe🤣🤣
Upo kwenye shoo, mara anageuza macho na kuanza kuchekaSema dizaini hii wanakuwaga na maruhani ukimzingua chamoto utakiona
🤣🤣🤣🤣🤣 Aiseh utaliwa hapa ndani kimasihara eeh hawa kaka zangu siamini kama watakuacha kirahis.Habari zenu.
Mimi ni Mschana, umri 30 years, Sina Mtoto. Mimi ni Halfcaste wa kiarabu, sio mweusi wala sio mweupe sn, natafuta mume ambae ni mixed race na mwenye Hofu ya Mungu. Umri wa mwanaume miaka 30-45.
Nipo serious.🙏🏼
Hivi shombe shombe ndo anakuwaje?
Kuwa muwazi tu kuwa unatafuta mfumua marindaHabari zenu.
Mimi ni Mschana, umri 30 years, Sina Mtoto. Mimi ni Halfcaste wa kiarabu, sio mweusi wala sio mweupe sn, natafuta mume ambae ni mixed race na mwenye Hofu ya Mungu. Umri wa mwanaume miaka 30-45.
Nipo serious.[emoji1374]
Kwenye ule wimbo wa side mnyamwezi kuna mstali unaimba , alimpata dem shombe shombe anakunywa pombe,Hivi shombe shombe ndo anakuwaje?
Hivi unafahamu maana ya mschanaMimi ni Mschana, umri 30 years,
Mbona unspata taabu babiii!Habari zenu.
Mimi ni Mschana, umri 30 years, Sina Mtoto. Mimi ni Halfcaste wa kiarabu, sio mweusi wala sio mweupe sn, natafuta mume ambae ni mixed race na mwenye Hofu ya Mungu. Umri wa mwanaume miaka 30-45.
Nipo serious.🙏🏼
Nyie si hua mnaandaliwa kwaajili ya binamu zenu.Habari zenu.
Mimi ni Mschana, umri 30 years, Sina Mtoto. Mimi ni Halfcaste wa kiarabu, sio mweusi wala sio mweupe sn, natafuta mume ambae ni mixed race na mwenye Hofu ya Mungu. Umri wa mwanaume miaka 30-45.
Nipo serious.[emoji1374]
🤣🤣🤣🤣 Daaah!Litapigwa jitu hapa.
Njoo kwangu mrembo mimi ni Msomali wa Kismayo.
ExactlyShombe shombe, jina limekaa kibwabwa sana
shombe sio ubwabwa ni kisawe cha uchotara kama hujui kitu ulizq nduguExactly