Natafuta mume tuoane

Natafuta mume tuoane

Eti hutaki wasabato, wamekufanya nin? Hahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kwa kuwa wanasali siku ya wewe kupiga bia na kujiachia
 
kwanini uliachana na baba wa mtoto wako tena mtoto akiwa na umri mdogo kiasi hicho.... kabla hatujafanya maamuzi yoyote ni vizuri kumsikiliza na mzazi mwenzio pengine we mkorofi na unajidaia ka masters kako.... bora hata ungesema una run huge entreprises ya net worth bilioni kadhaa sasa hako ka masters na ujeuri ulionao si utasababisha mtu akuzibue vibao halafu umpeleke polisi af uachane nae af uje tena humu...... tupe namba ya mzazi mwenzio tumchukue maelezo naye tusikie upande wake ana maoni gani?
 
Eti hutaki wasabato, wamekufanya nin? Hahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kwa kuwa wanasali siku ya wewe kupiga bia na kujiachia
Mbona bia hata jumapili inanyweka. Hata hiyo jumamosi kwani wanasali siku nzima??

Hata hao wasabati mbona bia wanapiga tu.

Mawazo mengine bana, kwako bia ndio umeoana la maana!!!
 
Asiwe mnene wakati ww mnene utakua hujielewi kajipange Kwanza uje tena vzuri
 
kwanini uliachana na baba wa mtoto wako tena mtoto akiwa na umri mdogo kiasi hicho.... kabla hatujafanya maamuzi yoyote ni vizuri kumsikiliza na mzazi mwenzio pengine we mkorofi na unajidaia ka masters kako.... bora hata ungesema una run huge entreprises ya net worth bilioni kadhaa sasa hako ka masters na ujeuri ulionao si utasababisha mtu akuzibue vibao halafu umpeleke polisi af uachane nae af uje tena humu...... tupe namba ya mzazi mwenzio tumchukue maelezo naye tusikie upande wake ana maoni gani?
By ze way nilishampata a good man!! nampenda sana!!


Kwa kukulisha tu ubongo wako;

Sio kila mahusiano lazima yafikie ndoa

mengine watu wanaamua kuenjoy tu maisha.

Sio lazima watu wakiachana basi sababu iwe ukorofi hafu wa mwanamke.

Lakini pia mi ni mkorofi ati sipendagi ujinga aisee.


Kuweka kigezo cha elimu yangu hakukuwa na maana ya kujibost.

Alamsiki!!
 
Asiwe mnene wakati ww mnene utakua hujielewi kajipange Kwanza uje tena vzuri
Yaani kwakuwa mie mnene basi nisichague mwembaba??

Ha ha ha

who lied to you??

wewe ndio ukajipange

mie nshampata nimtakae naenjoy his love!!
 
By ze way nilishampata a good man!! nampenda sana!!


Kwa kukulisha tu ubongo wako;

Sio kila mahusiano lazima yafikie ndoa

mengine watu wanaamua kuenjoy tu maisha.

Sio lazima watu wakiachana basi sababu iwe ukorofi hafu wa mwanamke.

Lakini pia mi ni mkorofi ati sipendagi ujinga aisee.


Kuweka kigezo cha elimu yangu hakukuwa na maana ya kujibost.

Alamsiki!!
By ze way.... Teh teh teh. Tangazo lako la mwanzo lina kasoro ya kimaadili ya kiAfrika.
... Mwanaume tuoane.... Muafrika haoani bali anaolewa.
Halafu kigezo cha elimu ya makaratasi kama kigezo cha mwanaume wa maisha yako ni dhihaka.
Elimu ya makatatasi ni mahsusi kwa ajira.
 
By ze way.... Teh teh teh. Tangazo lako la mwanzo lina kasoro ya kimaadili ya kiAfrika.
... Mwanaume tuoane.... Muafrika haoani bali anaolewa.
Halafu kigezo cha elimu ya makaratasi kama kigezo cha mwanaume wa maisha yako ni dhihaka.
Elimu ya makatatasi ni mahsusi kwa ajira.
Hujaeleweka walai!!.

Hafu nawashangaa sana na kiswahiki chenu

hivi hamkusomaga kutenda, kutendeana, kutendwa nk.??

Mbon sio geni neno la kuoana??

mbona watu wanaoana!!! ha ha ha ha ha

hebu acheni mfumo dume uliokithiri au mrudi tena shule mkajifunze kiswahili.
 
Hujaeleweka walai!!.

Hafu nawashangaa sana na kiswahiki chenu

hivi hamkusomaga kutenda, kutendeana, kutendwa nk.??

Mbon sio geni neno la kuoana??

mbona watu wanaoana!!! ha ha ha ha ha

hebu acheni mfumo dume uliokithiri au mrudi tena shule mkajifunze kiswahili.
Unadhani sijui? Kuoana ni mila za kizungu. Kuoa ama kuolewa ni mila za kiAfrika. Sasa nawewe kama hauelewi ufafanuzi nliotoa tufunge mjadala.
 
Back
Top Bottom