Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
sijambo. mimi nina vigezo vyote vipi nichukue basiHivi hujambo lakini??
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijambo. mimi nina vigezo vyote vipi nichukue basiHivi hujambo lakini??
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Hao mabosi wao hawana wake??Ila Muache Kuwa Vyakula Vya Mabosi Maofini Mtadumu Na Waume Zenu, Wanaume Ni Watu Wenye Roho Nyepesi. So Muwe Makini Na Huo Udhaifu Wenu
Yaani wewe bwana sasa mnene nichukue mnene Jamani Mimi mfupi nichukue mfupi mbaya nichukue mbaya Jamani khaaaaawanawake bana,,,,,utaiskia sitaki mnene wakat yeye mwenyewe booooongeee,,,,oooh sitaki mwenye kitambi wakati yeye tumbo hilooooo.pambaf
Mimi pia Nina mtoto 1 miaka 30hata mimi pia nina mtoto na ninatafuta mke ila umri ni 35 kama upo kama itakua serious vyema tuwasiliane.
Hapa pagumuNiko tayari kubadili dini ila mtoto aende kwa babaake.
Wewe sio muolewaji unaolewa na miaka au unataka dyudyu subiri wa 40years anakuja ila mimi ni mariooo nije pmMmm
nitakuwa nimekuzidi umri
akhuuuu
I'm interested...🙂🙂Mimi kiukweli Dada hata Mimi sijaolewa ila huwezi kuchagua mume awe Na degree au nini ujue elimu sio ndio mapenz ya dhati kikubwa kupata mume atakae kuthamini,atakaejua thamani yako,mwanaume atakae kuheshimu kikubwa awe mtafutaji ajitambue awe nahofu yamungu tu Mimi kama mwanamke mwenzio hicho kigezo cha elimu utawakosa wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana naeVijana mna ubishi sana, nina uzoefu na suala la umri katika ndoa. Mwanaume wa miaka 35 ni dogo kwa mama wa 37 ndugu tena na mtoto juu. Saizi ya huyu ni miaka kuanzia 47 na kuendelea ili heshima ndani ya nyumba iwepo Englishlady . Aidha nikuhakikishie kuwa mimi ni mshamba maana nina roots za huko shamba. Mtu ambaye hana roots za shamba (anayepaswa kuitwa mshamba) ni mtoto wa ombaomba wa mjini. Je, mwenzangu huna kizazi kinachotokea shamba ili usiitwe mshamba?
Wekaka usiishi kwakukariri sio wote samahanivigezo vyako nimefuzu tatizo kwa upande wangu linakuja hasa pale utakapokuwa unatumia kitwanga ndio umeshanikosa 🙁 kwa uzoefu wangu ma single parent ni walevi sijapata ona
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] umenitag nini kwakunibamba bebiI'm interested...🙂🙂
Nakufuatilia kila uendapo..[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] umenitag nini kwakunibamba bebi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri dada yetu. Ila ukiona siku zinayoyoma, jaribu kulegeza masharti japo kidogo. Issue sijui za unene, kuajiriwa etc are temporary and could change any time.....awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha..