Natafuta mume "very serious"

Natafuta mume "very serious"

Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
Umeanza vizuri ila hapo mwisho ndo umemaliza vibaya
 
Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
Umeanza vizuri ila hapo mwisho ndo umemaliza vibaya
 
ID yako ya mwanzo niipi ??.

Anyway Mimi sipo serious maana haitokaa kumfata MTU PM nisojua Background yake !

Nmejisikia tu kuchangia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una maanisha background ipi ya hapa jf au ya mtaani?
Kama ni ya hapa jf umechemka maana watu wanaishi hapa kwa maigizo zaidi ya bongo movie.

Kama ni ya mtaani napo hutafanikiwa sana kwani, kuna watu background zao hazijulikani kihivyo hata ungewauliza wazazi wao.

Maisha hayana fomula!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una maanisha background ipi ya hapa jf au ya mtaani?
Kama ni ya hapa jf umechemka maana watu wanaishi hapa kwa maigizo zaidi ya bongo movie.

Kama ni ya mtaani napo hutafanikiwa sana kwani, kuna watu background zao hazijulikani kihivyo hata ungewauliza wazazi wao.

Maisha hayana fomula!
Nikweli ulichokisema mkuu ,nikweli kabisa.

Ila ujue ukishasoma MTU post zake au koment ,kuna vitu vodogo dogo vitskavyoanzs kukupa picha ya muhusika ,is she a wife material or ? .

BTW yote ulosema nikweli
 
Nikweli ulichokisema mkuu ,nikweli kabisa.

Ila ujue ukishasoma MTU post zake au koment ,kuna vitu vodogo dogo vitskavyoanzs kukupa picha ya muhusika ,is she a wife material or ? .

BTW yote ulosema nikweli
Ni vyema kama umeuona ukweli wangu.
Issue ya mwenza mwema inabaki kuwa maajiliwa ya Mwenyezi Mungu,haijalishi mtakutana wapi, iwe mtandaoni,masomoni,kazini,mtaani,ibadani n.k
 
Back
Top Bottom