Natafuta mume "very serious"

Innallillah wainnaillah rajiuun,unamkosea Allah unaposema inshallah kumbe hauamini dini uliyo nayo unasema dini umezikuta kwako sio kigezo chochote.My sister badilika futa kauli hiyo haraka Allah anasema kwani nyinyi hamtakiabudu wanachokiabudu wao,na wala wao hawatakiabudu mnachokiabudu nyinyi,kwani nyinyi mna dini yenu na wao wana dini yao.Mwenyezimungu ni mmoja na wala hana mshirika dadaangu mlaani ibilisi huyo aliekutawala mpaka unshindwa kujijua ww ni nani
 
tumechoka kuuziwa mbuz kwenye gunia ukiweka kapicha katatuhamasisha zaid { ubunifu unahitajika }
 
Pumbavu haufai kuolewa
 
Vp kabila lolote nje ya Tz tunaruhusiwa?


Kila la kheri
 
Nitume maombi au box lako binafsi lishajaa???
 
Hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] chief ww ni mkorofii
Hahahaha chief habari yako ndugu ?.!!


Aaahh sio ukorofi mkuu,, hawa watu wanachokifanya hakifai wala nn,, unakuta Wenda humu ni konkodi kabisaaa , sasa ameona kutumika nikwingi ,ndo anastuka kua serious !!.

Wajege na ID zao ili tujue in ad out zao!! MTU anayeficha makucha yake niwakuogopa kama UKOMA.
 
Huyu mume unayemtafuta umempotezea wapi???

Afu naomba kujua kwa umri wako wote kama unavyokiri kuwa umepitia mengi katika mahusiano kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi, nini kilikushinda kupata mtu/mume wakati unavutia 16-22 kabla ya 25-28 toward 30 toward uzee....???
 
Namtanguliza mwenyezi mungu ili aninyooshee njia ya kukutana na wewe. Please tuwasiliane kwa 0693001199. Mi ni mmojawapo
Ukiona kafika huku jua ni makinikia dhahabu safi walishachenjua muda..!
 
Salama ndugu yangu [emoji4]

[emoji23][emoji28][emoji23] kweli aisee, na mm najiuliza kwanini mtu afungue ID mpya while kama akija na ID yake ya siku zote ndio ingependeza zaidi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…