Natafuta mume "very serious"

Hope utampata,goodluck on that...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye "awe na mwili kidogo" ulimanisha awe bonge au mwembamba.

Niweke sawa maana kiswahili sometimes kinasumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheeeeeeka!! Sasa imagine kwa utafiti niloufanya yaan huwezi amini,,, mabraza men wa sasa kuanzia 20's-30's walio wengi hawataki kuoa kabisa bali wanachokitaka ni kupiga mimba na kusepa... . Tafsiri yake ni kwamba hawapo tayari kuoa bali kupata watototu kwahyo hii inadhihirisha kua waoaji hawapatikani kirahisi kwa sasa, poleni sana wadada ila pia mungu niwetu sote msijari mtapata watu sahihi,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm na vuta bangi sana vipi nitapata nafasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie jaman nko tayar sinywi kilev chochote
Na wala chio malaya...mie jaman
[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Sifa zote ninazo na siji pm nicheki 0678148500
DINI Islam
Elimu Bachelor
Ajira Mfanyabiashara
Umri 32
 
Nikikupea utawezana...[emoji39][emoji39]??
 
 
sisi vimbau mbau tushakukosa
 
Sasa bidada na kaushahidi basi ka picha basi hata tu kamguu ili watu wawe seriously kama we
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…