Zijaolewa rafiki unataka uniwowe?Rafiki eti umeolewa?
Huo ujinga wanaume hatuna, huwezi kuuziwa kiatu hujakitest je kama inakubanaAwe tayari kupima vvu kabla ya chochote na alie tayari kusubiri hadi tufunge ndoa Ndio tu sex.
Vigezo safi kabisa kwa wale wenye jogoo wasiowika na wanahitaji wife.
Nataka nikubebe jumla rafikiZijaolewa rafiki unataka uniwowe?
Sawa rafiki njoo nyumbani upangiwe mahariNataka nikubebe jumla rafiki
Nimesubiri uzi wako wenye tittle kama ya mtoa mada holaa..
Imebidi niunge tela hapa rafiki
Maamuzi tu
Sawa baby mtarajiwaSawa rafiki njoo nyumbani upangiwe mahari
pole Marry!@Okoyoyo kwanini kunitusi?
Kama post haikuhusu si unaacha tu?
Najuta kuanzisha Uzi huu, machozi yananitoka tu hapa, anyway, ngoja niombe ifutwe, Mungu atanilipia
Unaharibu sasaSawa baby mtarajiwa
Daby atavimbaa
[emoji23][emoji23]mi mwehuAggy una akili sana ila muda mwingine ukiamua kujitoa ufahamu unajitoa haswaa
Mimi ningeenda PM sema naona umekesha hapa hunipi hata mwanya.Pole sana madam hii ndio Jf, kuna wapumb.avu wa kila aina japo wenye busara wapo pia...madam mtu yeye alianza kugegedwa ana miaka 12 au mkaka miaka yote ye hajawahi kukutana na bikra kwa hiyo wakisikia mtu wa umri wako bado bikra roho zinawatoka hatari na usishangae pamoja na kebehi zote hizi watakuja kukujalia PM na wengine ni hawahawa wanaokukejeli na kukutukana hapa watakuja bila hata soni au kwa kutumia I'd nyingine. Ushauri wangu fanya kama unafunga jalada la kutafuta mchumba Jf maana mashaka yangu hapa watakuja wale wa kukuumiza tu uyachukie mapenzi pamoja na kujitunza hadi umri huo.
Kwa hiyo siku hizi wqnawake mnavijua vigezo vyetu vya kuoa?Tena kubwaaaaaa...kasome tena. Afu ni msomi, yote tisa, kumi yupo sealed, pamoja na kuwa sealed ametia na msisitizo hana mtoto kabisa. Upewe nini kingine?
Nitafute wa nini wakati nimekupata wewe babyMimi ningeenda PM sema naona umekesha hapa hunipi hata mwanya.
Nje ya mada. Wewe utatafuta lini bwana?
Binafsi nakupongeza kwa kujitunza, karne hii ni ngumu sana kupata vijana wanaoweza kufanya ulichofanya. Simamia kwenye mstari huo huo hadi ufikie malengo yako, lazima utampata uliyeandaliwa.
Sisi wengine tulishajiharibu zamani ndio maana labda tunaona wivu na kuhisi vibaya.
Don't listen to anyone who's trying to pull you down, don't go down with them.
Watiririke kutaka Picha yangu nikiwa uchi nimebinuka?Fungua PM wadau watiririke.
Watiririke kutaka Picha yangu nikiwa uchi nimebinuka?
Pathetic!!
Zijaolewa rafiki unataka uniwowe?
MmmhNitafute wa nini wakati nimekupata wewe baby
Nini sasaMmmh
Kwa hiyo siku hizi wqnawake mnavijua vigezo vyetu vya kuoa?
Si bure siku hizi mnabishana nasi hata ndani ya nyumba.