Natafuta mume wa kuishi nae

Status
Not open for further replies.
Awe tayari kupima vvu kabla ya chochote na alie tayari kusubiri hadi tufunge ndoa Ndio tu sex.
Vigezo safi kabisa kwa wale wenye jogoo wasiowika na wanahitaji wife.
Huo ujinga wanaume hatuna, huwezi kuuziwa kiatu hujakitest je kama inakubana
 
Mimi ningeenda PM sema naona umekesha hapa hunipi hata mwanya.

Nje ya mada. Wewe utatafuta lini bwana?
 
Tena kubwaaaaaa...kasome tena. Afu ni msomi, yote tisa, kumi yupo sealed, pamoja na kuwa sealed ametia na msisitizo hana mtoto kabisa. Upewe nini kingine?
Kwa hiyo siku hizi wqnawake mnavijua vigezo vyetu vya kuoa?

Si bure siku hizi mnabishana nasi hata ndani ya nyumba.
 

Word...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…