Yeye anatafuta MTU anayehitaji Mke.Mkuu kuna kitu siajelewa hapo kwenye kichwa cha habari unaitaji mme
Kwenye maelekezo mwishoni unaitaji mke
Nieleweshe nije tuyajenge kiutu uzima
Kalewa huyo achana naye kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]Yeye anatafuta MTU anayehitaji Mke.
Ushamsoma hapo?
Ooh, mimi sipati wachumba; huyo hapo sasa. Ushindwe mwenyewe tu poti. Tena wa-kukaya gete nkoi! 😂😂 🏃♂️🏃♂️Wewe nakufahamu [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kiufupi sisi wajuba tunasema unatafuta mwanaume wa kukukula kukufanya na kuwezana.Habari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi
Hahahaha kipindi cha ujana alikua ana chagua mumeUnakumbuka shuka wakati kumekucha!
Hua wana misemo yao hawa,unakuta kidume akijitosa anaambiwa "U are not my type" leo hii kigezo ni umri tu!
HahahahaHua wana misemo yao hawa,unakuta kidume akijitosa anaambiwa "U are not my type" leo hii kigezo ni umri tu!
Muda ni muamuzi mzuri sana aiseee!