Natafuta mume wa kunioa, nimechoka kuwa mpweke

Karibu
 
Utaishia kupata mume wa mtu kwa umri huo ulioutaja
aisee..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mume wa mtu naye mume lakini [emoji2][emoji2].Back to the point kwa nini umesema hivyo?kwamba hakuna mwanaume bachelor wa miaka 38 au
 
masijala ndo nini?
 
Ukikosa kabisa ni check mimi nina 30 yrs -0759589005, nipo Kanda ya Ziwa
 
Sasa mbona unataka miaka mikubwa tu inamaana akitokea Serengeti boy huchangamkii fikilia vizuri dada.
 
Je kua mke mdogo. Utakua tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…