Matumizi yapoje nduguNakuombea sana usisahau kutumia tiba ya chumvi kwa ajili ya kinga za kiroho na kung'arisha nyota ambapo automatically mvuto utaongezeka.. Please don't ignore..!!!
KaribuHabari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi
aisee..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mume wa mtu naye mume lakini [emoji2][emoji2].Back to the point kwa nini umesema hivyo?kwamba hakuna mwanaume bachelor wa miaka 38 auUtaishia kupata mume wa mtu kwa umri huo ulioutaja
wewe single father?Singo maza....haya..masingo faza tukimbie PM fasta...
masijala ndo nini?Ujataja mapungufu yako kabisa ili mtu ajue....kama ziwa ndala tako sina aka flat hips hakuna uko serekalini niko masijala...mweusi tiii au mweupe peeee.......unamaliza kabisa ili mtia nia ajue kabisa hizo haraka kati zikoje ............kama ambavyo watia nia ya ubunge wanavo jitokeza maana wanajua mafao milioni 300
soma uzi wake huu hapa 2015 Nahisi mpenzi wangu ana govi
DuuuhUna tako na matiti mazur ebu weka picha yako kwanza tukuone
Kasome kamusi acha uvivumasijala ndo nini?
Njo pwani na mwanao makazi yapo kzi ipo......nimeshamaliza njo DM NAKUTUMIA KIKET YA NDEGE maisha mafupi njoo tumalizie muda uliobakiKanda ya ziwa mkoa gani
Kitengo Cha kuhifadhi ma-file ya ofisi.masijala ndo nini?
hahaaaaaaaaasoma uzi wake huu hapa 2015 Nahisi mpenzi wangu ana govi
Je kua mke mdogo. Utakua tayari?Habari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi