Natafuta mume wa kunioa

Tuache dharau kwa wenzetu wewe kama mambo yako vizuri si ukae kimya kuliko kumzodoe mwenzio anapo weka tangazo lake hii ndio maana ya jukwaa hili la mahusiono na wengine wengi wamepata wenzi wao hapa kwa hiyo tusifanye hivyo
 
Miaka 24?, kuwa mpole na uvute subra. Muda bado upo.
 
Tupe mrejesho katika safari yako vipi inaendelea maana tunakuombea huku?.
 
Ukiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Mtaani Ni wapi Na humu Ni wapi.Acha kuishi kizamani.Natamani JF uongozi mnipe uongozi bila Hata kulipwa kazi Yangu kuwaban Watu kama Hawa.Hii Dunia ya Leo hujui kama humu Ni Sawa Na mtaani.Ndo mana Kuna mijadala ya kujenga mbalimbali.Badilika ndugu Yangu au Rudi Shule Bado una muda.
 
Yaani sikupatii picha ukiwa chuo uliringia wanaume vibaya sana na kujidai wewe ndo wewe, sasa hakuna hata wa kukwambia hi
Maskini polee
Kaseva Bado mshamba hivyo.Sio Kweli Ni uamuzi. Hakuna.msichana asiyetongozwaa.kaamua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…