Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchagua sana, ndo kunawafanya mabinti wakose waume, mara oh awe tajiri, awe handsome, six pack, awe na gari, awe provider, caring, tall etc sasa asilimia ngapi ya wanaume hao Tanzania wanafit ivo vigezo DemiMnakosaje waume jamani? Mbona simple?
Anyway..kila la kheri binti.
Hakuna kitu kama hicho ye ajitahid kuhudhulia kanisani bila kukomaUsimvunje moyo jamani anaweza pata hapa
Ahahahahahah! Kweli kabisa,sheria zinaegemea upande mmojaWanawake wanaangalia fursa
Wakishindwa kufanikiwa wakiwa Single wanaamua kuolewa hiyo ndio Fursa ya mwisho kwa mwanamke apate mtu mwenye hela amuoe zikiisha waachane atakuwa tayari ana nyumba na gari na watoto ambao ndio wanamfanya awe mrithi halali wa Mali za Mwanaume kwa sheria za Tanzania. Kwa sheria za Ndoa Tanzania Mwanaume hana haki yeyote
Hata ukimuoa mwanamke mwaka mmoja na alikuja na begi la Karibu Shangazi, Siku mkigombana anaondoka na Harrier na hati ya kiwanja na nyumba mnayoishi inapigwa mnada mgawane.
Huoni ulimkaribisha Shetani kwenye maisha yako akumalize?
KaribuMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
If you think like that you are very cheap.Hii kitu sijawahi elewa. Yaani mimi na uzee huu nikitaka kuolewa kesho mume nampata kesho hiyo hiyo
Wewe una uexpensive upi? Show usIf you think like that you are very cheap.
Pe demiWewe una uexpensive upi? Show us
gooluckMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
pm me plsMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
pmMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
Ndoa lini? Naomba mualikoMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi.
Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
Nione pmMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi.
Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
MrejeshoMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi.
Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
Pole mMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi.
Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.