Natafuta Mume wa kunioa

Dada msaka mume unatia utata sana mbona Jina(Saida Issa) lako uliloliandika nitofauti na uliloandikishia\ulilosajili line yako ya simu?
 

watangazie msamaha kaka kiukweli hii tabia hata mimi naichukia ila ni vema kuwasamehe maana si bure huenda wakawa na pepo mchafu ambaye bila shaka anahitaji maombi
 
dada wa kiislamu mpaka unafika 32 bado haujaolewa??? ulikuwa unafanya nini miaka yote hiyo? au ulikuwa unachagua sana? kila la kheri dada yangu.
 
Wacha utani wa kipuuzi we mtu mzima na govi lako!

Sister anatafuta mume Serious. Halafu we unaleta dhihaka!
Angekuwa Dadako huyu ungeandika haya?
Mnfnsssssssssss!

!
 
Yamkini umeeleweka km watafuta mume na wataka kuolewa.swali la msingi ni je unaoleka?
 

Kuna ukweli ndani yake: hata msikitini wanaambiwa kuwa peponi kuzuri kuwa wanapewa wanawake 40 alafu nguvu za kuwagegeda 100
 
Zaidi ya kuwa muislamu huna vigezo vingine ambavyo ungependa mume mtarajiwa awe navyo? Kwa mfano kiwango cha elimu yake, awe muajiriwa/amejiajiri n.k.....Kila la heri.

Elimu Awe kapita Madrasa na anajua vaa vipeddo
 
Mmmhhh natamani kusema kitu hapa ila wacha ninyamaze for the sake of mtoa mada. The Boss unaweza kuja kuondoa hizi tofauti zilizojitokeza? I believe u can.

Ila mtoa mada anafanana na dada mmoja humu ambae state house yake imebomoka, sasa kafungua new ID inafanana na ileeee ngoja niishie hapo...
 
Last edited by a moderator:
Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874

Jina: Saida Issa
Nickname:Karueche
Number ya sim uki trace kwenye Tigo pesa inasoma ;SALMA MEZA
Haya jiingizeni muibiwe,mjini hapa
 
Hyao ndio Maneno ya Waislam wajiitao wenye dini ya haki???? Picha halisi umeonesha ya Uislam na waislam... Bongo kumbe ISIS Wapo wengi Marrekani hatochelewa kuwafyekeni...

hivyo ndivyo unavyojidanganya.ila tambua kua udini unaoleta hapa hauna maslah na ndio maana kukawepo jukwaa la dni kama unataka upuuzi wako peleka kule na mada hii humo kaa pembeni mbona wanakuja wakrsto hapa hawajawah kudhihakiwa dini zao?wewe mjinga unatafutia watu ban hapa.nyamaf
 
Dada unataka kuolewa Ndoa Nyingi. maana uliowapa fursa wao ni ndoa minga minga
 
Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874

Miaka 32 ndoa yako ya ngapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…