Natafuta mume wa kweli

Natafuta mume wa kweli

Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Bahati njema!!! Mwenyezimgu atakujaalia umpatae .ila usisahau kuleta mrjesho.
 
Umeleta u-feminist mpaka red light imewaka sasa unataka mwanaume ila asiwe na elimu sawa na yako.

Unatafuta mdoli?haiyumkiniki miaka yote hii ulikuwa unachagua mume kwa vigezo vya kipumbavu kama hivi na nakwambia hutampata!
hahaha hi ndo bongo
 
Sio jambo rahis kumpata mwanaume unaemtaka wewe, sio rahis kumpata mwanaume mwenye sifa nyingi namna iyo, una vigezo vingi Sana kupitiliza,
Utapa mwanaume lakini sio mume
 
Uongo nimepima

Hata ukipima watakuambia mayai unayo. Ila hawakwambii quality ya hayo mayai uliyonayo ikoje .

Ubora wa Mayai ya mwanamke wa miaka 18 ama 20 ama 25 ama 28. Ni tofauti na ubora wa mayai ya mwanamke wa miaka 30 kwenda juu.

Ndio maana complications nyingi za uzazi wanapata wanawake above 30
 

Attachments

  • 6172be26615154aa82c66799_risk of miscarriage based on age chart.png
    6172be26615154aa82c66799_risk of miscarriage based on age chart.png
    10.6 KB · Views: 14
  • fertility-and-age.png
    fertility-and-age.png
    123.4 KB · Views: 13
Hata ukipima watakuambia mayai unayo. Ila hawakwambii quality ya hayo mayai uliyonayo ikoje .

Ubora wa Mayai ya mwanamke wa miaka 18 ama 20 ama 25 ama 28. Ni tofauti na ubora wa mayai ya mwanamke wa miaka 30 kwenda juu.

Ndio maana complications nyingi za uzazi wanapata wanawake above 30
Uongoo my sister kaolewa 45 na anawatoto 3 nasasa ana 55 na yupo fiti
 
Uongoo my sister kaolewa 45 na anawatoto 3 nasasa ana 55 na yupo fiti

Sikudanganyi. Sayansi ndivyo inavyosema.

Wewe ndie unadanganya sababu haiwezekani mwanamke wa miaka 45 akapata watoto watatu akiwa above 45.

Nakuwekea evidence kuonesha nachosema sijakitunga mimi bali ni sayansi.


Wanaume kukwepa risk kama hizo ndio maana wanaoa wanawake wenye umri mdogo. Chini ya miaka 30
 

Attachments

  • 7315b107a8d7161bf97ae88d0b0838d4.mp4
    2.4 MB
Back
Top Bottom