Natafuta mume wa maisha...!

Natafuta mume wa maisha...!

nimechunguza topics nyingi ni wanawake kutafuta wanaume kuliko the other way around...ni kwamba wanawake wengi wa humu JF ni ma singo ladies, wameachwa, hawashikiki au hawatamaniki kwa wanaume ni swali tu :gossip:

Yote yanawezekana as Jf ni sehem ya maisha na jamii so usiache mdomo wazi kiasi hicho! Kuachwa, kushindikana, kuwa single ni mapito ktk maisha and i knw ulishapitia moja ya hapo au upo ktk mojawapo so cul down my dia!
 
ladywho pole sana kwa yale majibu ambayo tunayategemea yakatishe tamaa but trust what you are doing, najua humu wapo kibao ambaoao wanatafuta partners but uwe makini usije ukaangukia mikononi mwa wale wataabishaji. Watakao kupm jaribu na jitahd uonane nao ili at least kwa kuonana tu unaweza kumjua mtu kidogo. Uwe makini usimkaribishe mtu nyumbani kwako, wala usientertain swala la ngono kwanza manake ukifanya hivyo utajikuta umezini na watu wengi sana.


kama unaweza toka nao ukae sehem ya wazi uongee na mtu kwa undani, kabisa ukifanya hivi wapo wengine kwa siku ya kwanza tu utajikuta umeshawadelete, na hii itapunguza presha ya kuwa na msururu wa watu. hata utakayempata usimwonyesha tamaa ya ngono kwanza, uwe serious katika hili usije siku ukarudi hapa kama wengine ukidai wanataka ngono tu.
 
ladywho pole sana kwa yale majibu ambayo tunayategemea yakatishe tamaa but trust what you are doing, najua humu wapo kibao ambaoao wanatafuta partners but uwe makini usije ukaangukia mikononi mwa wale wataabishaji. Watakao kupm jaribu na jitahd uonane nao ili at least kwa kuonana tu unaweza kumjua mtu kidogo. Uwe makini usimkaribishe mtu nyumbani kwako, wala usientertain swala la ngono kwanza manake ukifanya hivyo utajikuta umezini na watu wengi sana.


kama unaweza toka nao ukae sehem ya wazi uongee na mtu kwa undani, kabisa ukifanya hivi wapo wengine kwa siku ya kwanza tu utajikuta umeshawadelete, na hii itapunguza presha ya kuwa na msururu wa watu. hata utakayempata usimwonyesha tamaa ya ngono kwanza, uwe serious katika hili usije siku ukarudi hapa kama wengine ukidai wanataka ngono tu.

Thanx kwa mawazo
 
Mpendwa ladywho, imani yako yakuruhusu na wewe u tayari kuolewa mitala? My wife is getting old and older as days go on.
 
Ninatafuta mwanaume wa kuishi nae awe na miaka 35-45. Awe mrefu angalau fut 5"5, asiwe na kitambi, awe na elimu kuanzia form 6, awe na upeo wa kuchambua mambo mbalimbali ya kijamii (anaeweza kuargue ktk jambo lolote bila kukwazika) asiwe smoker wa cigarete au weed, asiwe mlevi (mnywaji sawa tu).

Mimi nina miaka 31, mrefu kidogo, umbo la wastani na ni mzuri (kawaida) sivuti wala situmii pombe, elimu yangu form 6. Am serious ktk hili jamani wale mnaofanyaga utani mpumzike khdogo! Hapa vigezo na masharti vitazingatiwa. Kwa maelezo zaidi ni PM au nitumie ujumbe cecybenson@hotmail.com.

ASANTENI.


nimekupm please keep that n respond
 
Ninatafuta mwanaume wa kuishi nae awe na miaka 35-45. Awe mrefu angalau fut 5"5, asiwe na kitambi, awe na elimu kuanzia form 6, awe na upeo wa kuchambua mambo mbalimbali ya kijamii (anaeweza kuargue ktk jambo lolote bila kukwazika) asiwe smoker wa cigarete au weed, asiwe mlevi (mnywaji sawa tu).

Mimi nina miaka 31, mrefu kidogo, umbo la wastani na ni mzuri (kawaida) sivuti wala situmii pombe, elimu yangu form 6. Am serious ktk hili jamani wale mnaofanyaga utani mpumzike khdogo! Hapa vigezo na masharti vitazingatiwa. Kwa maelezo zaidi ni PM au nitumie ujumbe cecybenson@hotmail.com.

ASANTENI.

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
Back
Top Bottom