Natafuta mume wa mtu

NE,
Nakumbuka vioja vyako vya mwaka jana kwenye jukwaa letu lileeeee la watu wazima, daaah nilidhani umetulia wangu kumbe...
 
yaani wewe lazima unajijua unakasoro fulani ndio maana unasema hivyo.

kwa kweli unania aibu loo mwanamke kama ulienda shule basi ungekaa home tu, unataka dandia vya wengine naomba Mungu umpate then mkewe akusemehe laana itakayo kujutisha maishani. jua hakuna hata mume wa mtu anayeiba bila mke kupata mapungufu fulani mfano hata muda unaomchukulia etc

au labda umeenda kwa mganga umeambiwa mume wa mtu ndio njia ya kujiongezea ili usitoke na masharo ukajisahau
 
Tatizo watu wanchukulia uzi huu kuwa NOT ENOUGH anatania, nshakutana na kina dada ambao wanadeclare kabisa wao interest yao ni mume wa mtu,
na wako genuine, they never ingilia ndoa yako kwa kuiharibu ili mkeo ampishe.
Wanaume: Wanawake ratio ni ndogo, so gentlemen consider that. NOT ENOUGH nakuPM
 
Isije ikawa unafanya risach we bidada?
 
mwaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
AMINIA!
SHIKAMOO gfsonwin
shikamoo tena mama klein
shikamoo tema muke ya G
shikamoo madame head mistress
shikamoo mtafiti
shikamoo dada langu
shikamoo mamake G
shikamoo shosti yake cacico
shikamoo mwalimu wa bios na kemia
shikamoo !shikamoo!shikamoo
 
Last edited by a moderator:
Nimepata PM za kutosha ila naendelea kupokea kwa ajili ya kufanya selection
 

marhabaaa!!!!!!!!!!!! ................
mzima weye??
 

kumbe nyie ndio waharibu ndoa na watu!ushindwe kwa Jina la Yesu!
 
Unatoa tigo? Mie siridhiki bila kuruka ukuta
 
kha, usinimalize mie, wanabeba hadi nyumba, hahaha, jokes aside, msukuma/mwanamke yoyote atakaeweza kuniletea za kuleta tena kwasasa nahisi tutakosa wote, na wote wawe wamejipanga kikweli kweli, hilo msukuma analijua na huwa namwambia kila mara.
 
Gangamala kwa kweli

Ndo wako huyo, ama zake ama zako

Ha ha ha, napenda unavyokaba kwa kweli

kha, usinimalize mie, wanabeba hadi nyumba, hahaha, jokes aside, msukuma/mwanamke yoyote atakaeweza kuniletea za kuleta tena kwasasa nahisi tutakosa wote, na wote wawe wamejipanga kikweli kweli, hilo msukuma analijua na huwa namwambia kila mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…