Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe muoga namna hiyo, huyo ndiyo NOT ENOUGH bana.
mwaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
AMINIA!
SHIKAMOO gfsonwin
shikamoo tena mama klein
shikamoo tema muke ya G
shikamoo madame head mistress
shikamoo mtafiti
shikamoo dada langu
shikamoo mamake G
shikamoo shosti yake cacico
shikamoo mwalimu wa bios na kemia
shikamoo !shikamoo!shikamoo
mi mzima !umeniacha hoi tu jinsi unavombayanisha mtu!:rockon:marhabaaa!!!!!!!!!!!! ................
mzima weye??
mi mzima !umeniacha hoi tu jinsi unavombayanisha mtu!:rockon:
:yo:
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu
1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa
Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.
Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
Unatoa tigo? Mie siridhiki bila kuruka ukutaNimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu
1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa
Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.
Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
kha, usinimalize mie, wanabeba hadi nyumba, hahaha, jokes aside, msukuma/mwanamke yoyote atakaeweza kuniletea za kuleta tena kwasasa nahisi tutakosa wote, na wote wawe wamejipanga kikweli kweli, hilo msukuma analijua na huwa namwambia kila mara.Mmmh, ukute saa hivi PM yake imejaa hadi kakinga na ndooHe he he, hawa walio desperate kihivi akimshika msukuma kwa muda utaisoma namba, wanakuja kamili anabeba hadi nyumbaUkimuona msukuma karudi home salama, shukuru Mungu na muombee, wanakutana na mengi njiani.
kha, usinimalize mie, wanabeba hadi nyumba, hahaha, jokes aside, msukuma/mwanamke yoyote atakaeweza kuniletea za kuleta tena kwasasa nahisi tutakosa wote, na wote wawe wamejipanga kikweli kweli, hilo msukuma analijua na huwa namwambia kila mara.
Nimepata PM za kutosha ila naendelea kupokea kwa ajili ya kufanya selection