Natafuta mume wa mtu

Natafuta mume wa mtu

Hamna ni kujipanga tu

Nakushauri uombe ushauri kwa mama yako mzazi juu ya hiki kituko unachotaka kufanya.......maana sidhani kama kuna mwanaume anayependa familia yake halafu ahangaike na wewe, atakayekuja ujue hapendi familia yake na hapo utaingia chaka.
 
Nakushauri uombe ushauri kwa mama yako mzazi juu ya hiki kituko unachotaka kufanya.......maana sidhani kama kuna mwanaume anayependa familia yake halafu ahangaike na wewe, atakayekuja ujue hapendi familia yake na hapo utaingia chaka.

Wako wanaume wajanja wanajuwa kubalansisha.
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
Ushanipata bibie,mie mke wangu nampenda mpaka mtaani kwetu naitwa mume -----!

Nsha ku PM kipenzi lol!
 
Hizi abunuwasi tu....ukute wewe ni dume full kuwainjoi watu..
Ila kibongobongo utawachota.......manake utawapata tai ukiweka mzoga!
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.

Unamtafuate Mume wa Mtu au unamtafuta SHETANI?

Huo ni USHETANI! Mungu alisema: Ndoa ni mume mmoja, mke mmoja!

Sasa wewe wataka kuvunja ndoa ya mtu, sio WIZI na UUAJI huo?

Imeandikwa: Usiibe, Usiue.

Hatima ya wewe kuwa na huyo mume wa mtu, ni kwamba utaivunja ndoa yake, na utakuwa UMEMWIBIA mwanamke mwenzako HAKI YAKE takatifu, na pia, utakuwa UMEMWUA kwani atakuwa na majonzi makali sana!

Fikiria, kama wewe ndiye ungekuwa unafanyiwa hivyo, UNGEJISIKIAJE?

Tafakari. Chukua hatua!

BADILIKA! Mlaani SHETANI!

Mrudie Mungu! Atakusamehe dhambi zao. Yesu HAHUKUMU!
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.

Kutaka kutembea na mume wa mtu ni laana tosha!!
 
Mwaya bibie, kula kichwa kama kikija
Kupanga ni kuchagua
 
sifa ulizotaja kuna moja ina kasoro kubwa

Mume wa mtu anayejali familia yake hawezi kwenda nje ya familia yake.....
 
Mmmh, ukute saa hivi PM yake imejaa hadi kakinga na ndoo


He he he, hawa walio desperate kihivi akimshika msukuma kwa muda utaisoma namba, wanakuja kamili anabeba hadi nyumba

Ukimuona msukuma karudi home salama, shukuru Mungu na muombee, wanakutana na mengi njiani.

hivi wakiomba pm za kimtindo huu huwa wanajibiwa kweli, mwambie namfanyia msukuma "sale" aje ajishikize kidogo.
 
Kuna jamaa na mkewe wana VVU na sasa mkewe hajiwezi ila jamaa anatafuta mke na yuko anajiweza, nadhani atakufaa.
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
Hii unaitafuta kama si laana ni nini?
 
Njoo nikupe wangu na wewe ufaidi kidogo.kizuri kula na mwenzio njoo bidada.
 
Back
Top Bottom