Natafuta mume wa mtu

Natafuta mume wa mtu

Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yakena kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.

du!ila wenye mapenz ya kweli mbons wapo u.
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.



Nakupa hongera kwa kuwa muwazi na kujali familia ya mwenzio. Kutoka nje ya ndoa kwa hapa Bongo imekuwa kama ni halali kwani ni wengi wanafanya hivyo na kibaya zaidi wengi ya wanawake wanaiba waume wa wenzao kwa kuvunja familia zao ila wewe unataka kuimarisha familia ya mwenzako, hongera sana.
 
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.

Nadhani wa aina hiyo hajazaliwa bado. Anayeipenda familia yake halafu aiache aje akufuate wewe ? Badilisha , sema asiyeipenda familia yake labda utabahatisha kadhaa
 
Namimi natafuta lakini awe mke wa mtu. Je unazo sifa? Kama unazo ni-pm tuendelee na kinachofuata.
 
Nipe hyo nafasi hautajuta tena maishan mwako!ni pm tafadhar
 
Back
Top Bottom