Natafuta mume wenye sifa hizi

Tutampata wapi kama huyu ambaye namba ya simu inawekwa kwenye uzi kabisa?


Sema wazee mnakamia sana dakika 30+ comments zaidi ya 50+. Jamaa wa Chaputa nawaona na kataa ndoa kibao wanachuana hapa. Kwanini msituachie sisi ambao tunatafuta mke?

Mnakunja sana asee.
 
Sisi wengine tunasoma comments na kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…