BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Una zigo kama la SANCH au POSH?Nataka mme awe mcha Mungu, mm ni binti miaka 24,Simu namba 0788894641
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una zigo kama la SANCH au POSH?Nataka mme awe mcha Mungu, mm ni binti miaka 24,Simu namba 0788894641
Noma sanaNawasihi wakosoaji wa sirikali kuweni makini huko PM mdude alipewa pisi kali kweli hailukiki kwa mwanaume mwenye tamaa
Daaah, mwanangu umemaliza kila kituNimekutumia vocha, jiunge nijibu WhatsApp.
Kila la kheri.Nataka mme awe mcha Mungu, mm ni binti miaka 24,Simu namba 0788894641
kuwa makini pia wacha MUNGU wa kupitiliza wengine ni wavivu.Nataka mme awe mcha Mungu, mm ni binti miaka 24,Simu namba 0788894641
kuna siku unaamka na stress unaingia kwenye uzi kama huu kwa bahati usikie mabaharia wanaongea nini lakini ghafla sura yako inakunjuka kwa majibu mazuri wenye kuondoa unyonge.Mods futeni uzi mazungumzo yanaenda vizuri.
Hapa kuna kupigwaNataka mme awe mcha Mungu, mm ni binti miaka 24,Simu namba 0788894641
mme-part time na kirefu chake mmeeeeeeeeeeeeee!Mume Au mme
Natafuta Mke awe Muisilamu kama ana mtoto awe mmoja,uko tayali?Mambo vipi jamani!
Mimi ni binti miaka 24, natafuta mume awe mcha Mungu.
Simu namba 0788894641
Itakuwa.Huyo katumwa na Mwafele gang
😂😂😂😂Ndoa is only for the strong ones dada😂😂🙌Tena Hawa Wacha Mungu ni hatariii 😭 🙌 All the best ila 24 saiv mpka ufe utakuwa ume......kinouma😂😂😂🙌Mambo vipi jamani!
Mimi ni binti miaka 24, natafuta mume awe mcha Mungu.
Simu namba 0788894641
Competition kubwa sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukakwama wapi sasa!
Uoga wako ndio umasikini wako totoo🤣🤣Competition kubwa sana