Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Ni kweli lakini wao hili hawalitambuiSiku zoote taarifa zina sema kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hivyo ni lazima tukubali kuwa, sio wote wataolewa/wataolewa kwa wakati sawa
Naunga hoja ya waislamu kuoa mke zaidi ya mmoja pale mazingira yanapo ruhusu ili kufanya dada zetu wote waingie kwenye ndoa salama
Ndo nn hii? Hata huelew jamaa kauliza nnMujahedeen
Swala la kuwa mke mwenza kwenye zama hizi ni mtihani ndg yangu,kwanza wanaake hawapendani wao kwa wao.We si muislam mbn hutaki kuwa nyumba ndogo sasa hahaha
Niliemjibu kaelewa wewe ndio hujaelewa elimu yako please inaoneka mwalimu wa darasa alipata kazi sana kukuelimisha.Ndo nn hii? Hata huelew jamaa kauliza nn
Katika dini ya kiislam hakuna elim inayoitwa mujahedeen ,hii ni jinsi gani invyoonyesha hufaham chochoteNiliemjibu kaelewa wewe ndio hujaelewa elimu yako please inaoneka mwalimu wa darasa alipata kazi sana kukuelimisha.
Dada yangu siku zote mwanamke akiwa anajitambua,msafi,sio mvivu,anajua kupika,ana heshima na sifa zingine nzuri ata olewa tu sisi wanaume tunatabia moja kuna wanawake tukiwasoma tu tunajuwa huyu hafai kuwa mke huyu ni wakugonga basi na kuna mwingine kwa mwenendo wake tu unajua huyu natakiwa kumuheshimu anafaa kuwa mke.kweli Ndumilakuwili sio wote tumeandikiwa kuolewa mwisho wake ndio tunatafuta waume wenyewe
Mujahedeen huwajui au...!Katika dini ya kiislam hakuna elim inayoitwa mujahedeen ,hii ni jinsi gani invyoonyesha hufaham chochote
Siunaona sasa jinsi ulivyo huelewi, tofautisha kati ya elim ña dhehebu,Mujahedeen huwajui au...!
Sikuwa na maana kiviile kwa hiyo ulishindwa tu kuelewa mwanzo maana naona napiga ngoma isiyoeleweka lakini unacheza hivyo hivyo,Siunaona sasa jinsi ulivyo huelewi, tofautisha kati ya elim ña dhehubu,
na bahati pia inachangia kaka unaweza ukafanya vyote hivyo na kuolewa usioleweDada yangu siku zote mwanamke akiwa anajitambua,msafi,sio mvivu,anajua kupika,ana heshima na sifa zingine nzuri ata olewa tu sisi wanaume tunatabia moja kuna wanawake tukiwasoma tu tunajuwa huyu hafai kuwa mke huyu ni wakugonga basi na kuna mwingine kwa mwenendo wake tu unajua huyu natakiwa kumuheshimu anafaa kuwa mke.
Pole ww bashiteSikuwa na maana kiviile kwa hiyo ulishindwa tu kuelewa mwanzo maana naona napiga ngoma isiyoeleweka lakini unacheza hivyo hivyo,
Pole mkuu kwa kukusumbua
Ohoooooo [emoji23]Kwanini mnaweka kikwazo cha umri hata kama kijana wa miaka 20 kasha jipanga na yuko teyari anaweza kukuoa tu hivi huwa hamwoni mfano kwa Diamond na Zari.
[emoji116][emoji116]Ohoooooo [emoji23]
Apo mbali sana punguza age kidogo coz wngine sisi wadogo. Tutafanyaje .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]