Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ihii ihiii ihiiiPunguza hyo age kdogo
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Bila shaka hii ni kama degree hiviMujahedeen
MaamumaNataka kujua na elimu yako ya dini
hahahahahahahahahahahkuolewa n bahati mkuu wengine wameandikiwa kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao, wengine kuolewa
Hamna kaka Mimi nitamuoa km ataweza kujihifadhiutapata wa ngono tu,
ulete na mrejesho ikibidi
Hahaaa Mkuu acha utaniMujahedeen
Siku zoote taarifa zina sema kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hivyo ni lazima tukubali kuwa, sio wote wataolewa/wataolewa kwa wakati sawa
Naunga hoja ya waislamu kuoa mke zaidi ya mmoja pale mazingira yanapo ruhusu ili kufanya dada zetu wote waingie kwenye ndoa salama
Hamkawii kugombana nyieKatika dini ya kiislam hakuna elim inayoitwa mujahedeen ,hii ni jinsi gani invyoonyesha hufaham chochote
Huku hakuna ogomvi ni mwendo wa kupunguza stressHamkawii kugombana nyie
hahahahahahahaha huwa unanipa raha sana comments zakokuolewa n bahati mkuu wengine wameandikiwa kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao, wengine kuolewa
he he jichekee tu mkuu maisha yenyewe mafupi hayahahahahahahahaha huwa unanipa raha sana comments zako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We si muislam mbn hutaki kuwa nyumba ndogo sasa hahaha