Natafuta mume

ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
Una value...how much?

Afu una MTU, unaongeza mwingine ushindanishe mwenye kubwa ni yupi?! Malaya tu wewe, pita kule
 
Ukimkosa uje pm nikuambie kitu ok
 
kizuri kinajiuza ,kibaya chajitembeza.Huwezi kutoka kiwanja cha fisi ukawa mke mwema
 
Uliowataja nao wana vigezo vyao, je we we una nini? Angalia jua linakuchwea
 
Sina cha kuongeza umemaliza.
 
eti nipo above 30 ningekuwa above ningekuja na vigezo vyote hivyo ukiona hivyo it means I am still young that's why sihitaji bora mume ila mume bora
Unataka mume bora je wewe ni mke bora.
Uzi wako unaonyesha dhahiri kuwa wewe hufai kuwa mke.
 
Na je hata akimpata akaja kuyumba akokosa hiyo mil kwa mwezi so ndoa ndo inakuaje tena, inakufa au?
 
Kiukweli huyu hafai kuolewa ana maneno makalisana anaonekana mkatili balaa
 
haya mabandiko siku iz yanaboaaa....kama ungekua expensive wakumtaka mwanaume waivo mbna ungekua umeshampata ata uyu usingekuja kujianika...we sema natafta mume iyo misifa peleka mbelee....masters umemsomessha ww??,,,iyo mil biashara ulimfungulia???
Aiseee una hasiraa.Soma Masters Na wewe
 
Nani akuoe?kaolewe na kaka zako wanaojiamini
 
Sawa ila mchumba huja mwenyewe maana wewe ni mtakiwa.unanafasi kubwa sana lkn umeharibu kujiweka mtaandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…