Natafuta mume

Natafuta mume

bahati nzuri mapenzi hayana masters,barchela wala ingineer.Hata mwenye sifa hizo hawezi kukutfuta maana unataka vitu kupitia mtu si mtu.
 
Mrejesho :
Nashukuru kwa mlionidhihaki na maneno na matusi yenu but mi sio aina hiyo ya wasichana mnaodhani niliweka vigezo vile kupima ni aina gani ya wanaume waliopo Tanzania but nimegundua wengi wenu kujiamini ni ziro ila wanachojua ni matusi but naishukuru Jf kwa kunipatia mpenzi ambaye ni mwalimu wa Secondary kwa shule flani hapa dar ingawa PM walikuja wengi kwa kujifanya wana pesa but sikuhitaji vyote hivyo ila nilihitaji mwanaume ambaye anajiamini as a man
AHSANTENI SANA WANA JF


Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Km mtu mwenye elimu anafikiri,kuamua ,kusema na kutenda kama wewe aisee ni aibu kwa elimu yetu,
 
Wanawake mnaboa sana, hizi akili sijui mwaziweka wapi, wote waliokuona hawajaiona hiyo value, sisi tusiokuona ndo waja kutuimbia hapa una value. THAT MINDSET ya kusema una value na unaiona it will repel wanaume, niamini mimi! kwenye andiko lako waonyesha clearly unyenyekevu ni sifuri, na niamini mimi, wanawake wazuri na wanaojua thaman zao wanaishia kupigwa tu, wanaoonelwa ni wale wanyenyekevu wanaojitambua hata kama sura zao ni average, Wanaume hawaoi wanawake ili kufungua kampuni ya mamis na ma modo, wanaoa ili kulea familia. KILA LA KHERI dada yangu, Dont take this personal.
Hata huyo mwanaume alotongozwa na huyu nanii ni mjinga wa kiwango cha -mwisho,hivi mwanaume timamu,usiye na shida na ambae umeme unatosha kichwani yani unaweza shawishika na tangazo la kijinga la mwanamke kutafuta mume na ww ukajitusu!,
Huko ni kujiuza
 
Unajua, ukipigwa chini hasira na visasi ni vingi bila kujua madhara yake. Dada tulia mungu atakuongoza na utampata.
 
Naona unatangaza ajira...yaani mtu anakuja kukulea alaf unamletea mbwembwe wee vp
 
Ulikataa mwalimu yyt, ktk mrejesho umempata mwalimu wa sec flani ,kazi mnayo aisee
 
Back
Top Bottom