Ukajarbu kumuweka ndan ikashindkana ukaona bora muwe mnaibiana hvi hv enheeMkuu sikimbii commitments mkuu, maana hata uko zipo.
Ila hivyo ndo tulivyoafikiana baada ya kujaribu kule kwingine ikashindikana.
Mmmhh! We niuze tuKaka na mchepuko bora mchepuko una afadhal pia unakua na access na baadhi ya vitu ukiwa kaka unapita flat kabisaaa
Ha ha ha ha mie nakupa kama wanguMmmhh! We niuze tu
Hahahaaa! Hata hunikatazi daahHa ha ha ha mie nakupa kama wangu
Nikukataze kisa nn sasaHahahaaa! Hata hunikatazi daah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akitokea anaetafuta boyfriend mnijulishe.....
Ina maana.......Habari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!
VIPI ULISHA MPATA MUME? KAMA BADO USEMEHabari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!
Si ili nisipotee.Nikukataze kisa nn sasa
Unavyopenda sasa unaanzaje kupoteaSi ili nisipotee.
Hahahaaa!Unavyopenda sasa unaanzaje kupotea
upo mkoa ganiHabari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!