blandina mushi
Member
- Apr 11, 2017
- 18
- 35
Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mahitaji yako mazuri sana maana hauna vigezo vingi,msomi kwa maana ya(KKK) kujua kusoma,kuhesabu na kuandika siyo??Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
tena wametokea Dar..Halafu kwanini 99% ya wanaotafuta waume/wake au wachumba humu ni ID mpya?!
Afu jamaa nakuonea wivu na uyo wife wako mnanoga sana nkikumbuka ulivyotoa kaushuhuda ulivyompata kwenye ile thread ya mazibgira hatari ndo naamini Mke anawezapatikana maeneo yyttena wametokea Dar..
Afu jamaa nakuonea wivu na uyo wife wako mnanoga sana nkikumbuka ulivyotoa kaushuhuda ulivyompata kwenye ile thread ya mazibgira hatari ndo naamini Mke anawezapatikana maeneo yyttena wametokea Dar..
[emoji23] wala haitaji alieajieriwa cjui watakula majanimahitaji yako mazuri sana maana hauna vigezo vingi,msomi kwa maana ya(KKK) kujua kusoma,kuhesabu na kuandika siyo??
heheheh tena kwenye kugegedana kunavotia njaa, lazima arudi kutafuta mwenye kazi[emoji23] wala haitaji alieajieriwa cjui watakula majani
Wewe nawe Chizi kweli kwani wasio ajiriwa hawana maisha!! Watu wamejiajiri wenyewe na maisha yanasonga mbele, wewe subiria nyiongeza ya Magufuli utapanga mpaka ustafu[emoji23] wala haitaji alieajieriwa cjui watakula majani