Natafuta mume

Mim nina gari, nyumba, viwanja, biashara pamoja na kaz nzuri ebu njoo pm tuyajenge
 
tena wametokea Dar..
Afu jamaa nakuonea wivu na uyo wife wako mnanoga sana nkikumbuka ulivyotoa kaushuhuda ulivyompata kwenye ile thread ya mazibgira hatari ndo naamini Mke anawezapatikana maeneo yyt
 
[emoji23] wala haitaji alieajieriwa cjui watakula majani
Wewe nawe Chizi kweli kwani wasio ajiriwa hawana maisha!! Watu wamejiajiri wenyewe na maisha yanasonga mbele, wewe subiria nyiongeza ya Magufuli utapanga mpaka ustafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…