Natafuta mume

Natafuta mume

Habari,
Najitokeza kutafuta mwanaume aliye serious,ninahitaji mume.

-Nina miaka 28
-Nina mtoto mmoja
-elimu degree moja(IT)
-muajiriwa

Aliye tayari ani pm.
Bbie,labda bado kabila lako na mkoa uliopo kwa sasa -kamilisha na hapo! .
 
Aisee..... Ngoja ni-slide pm hata kwa majaribio
 
Mama tatizo sijapata ajila kama uko tayari niambie nije Pm
 
Habari,
Najitokeza kutafuta mwanaume aliye serious,ninahitaji mume.

-Nina miaka 28
-Nina mtoto mmoja
-elimu degree moja(IT)
-muajiriwa

Aliye tayari ani pm.
Baba mtoto alishafariki au yupo hai..???

Why alikutosa kuna jambo tuanzie hapo..![emoji125][emoji125][emoji125]
 
Namalizia kazi zangu za kilimo nikitoka tu naenda Bank labda unambie nikukute pande zip ili tuzungumze kidogo.
Ila shart uwe cheupe c unajua sie tunaotokea kanda ya ziwa.
 
Back
Top Bottom