Ipo majini...nmekumiss lknChura ipo?
Picha plz. Isije Kuwa una ukoo na marehemu Dr Lemmy OngalaHabari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
Ewaaaa umetuwakilisha vyema kabisa wanaume wote mkuuHapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.
Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.
Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??
Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.
Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!
Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Rafiki Valentine day sijui hata nitapata wapi chura!....Valentine day bila chura siku yangu itaharibika!Ipo majini...nmekumiss lkn
Hehehe zimejaa hvyo huko dar....au ongea na mzigua90 anayoRafiki Valentine day sijui hata nitapata wapi chura!....Valentine day bila chura siku yangu itaharibika!
Rafiki mie nataka ya JF ndo tamu!Hehehe zimejaa hvyo huko dar....au ongea na mzigua90 anayo
Ndo uongee kikubwaa na Mzigua90Rafiki mie nataka ya JF ndo tamu!
Hahaha!Mkuu chura ya nn tena?Chura ipo?
Hapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.
Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.
Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??
Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.
Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!
Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Mbona wewe huna hofu na MunguHabari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
Mercy beucoupHapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.
Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.
Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??
Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.
Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!
Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.