Natafuta mume

Natafuta mume

Mbona sifa zako chache sana halafu yeye umemuorodheshea sifa nyingi hivyo?
Unataka yeye awe na hofu ya Mungu, lakini wewe hujasema kama hiyo hofu ya Mungu unayo au lah!

Anyway, kila la kheri.
 
Mbona sifa zako chache sana halafu yeye umemuorodheshea sifa nyingi hivyo?
Unataka yeye awe na hofu ya Mungu, lakini wewe hujasema kama hiyo hofu ya Mungu unayo au lah!

Anyway, kila la kheri.
Hahahaha anashindwa kuelewa kuwa ye ndo mwenye uhitaji
 
Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu

SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.




Karibu
Sasa mbona sifa zako ni chache kuliko za huyo unayemtafuta? Wewe una hofu ya Mungu? Una upendo wa dhati?

Anyway kila la kheri mkuu
 
Sisi wafupi imemega kwetu. Kila anayetafuta mume utasikia 'mrefu'![emoji23]
 
Binti huku kuna majambazi, be care full na ujiandae kuwa make wa pili, hao unaowatafuta,wana watoto wamezalisha tiyari, wengine wagame, wengine maario tegemezii, watakunyonya hadi damu. Wanapenda kulelewa.
 
Back
Top Bottom