Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
NdioRafiki unamfahamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioRafiki unamfahamu?
Anayo...mbona umepotea hvyo na sato wanguHuyo mzigua ana chura?
Mzigua90 njoo huku please,Valentine day sina chura ya kutoka nayo out!Ndio
Hahahaha anashindwa kuelewa kuwa ye ndo mwenye uhitajiMbona sifa zako chache sana halafu yeye umemuorodheshea sifa nyingi hivyo?
Unataka yeye awe na hofu ya Mungu, lakini wewe hujasema kama hiyo hofu ya Mungu unayo au lah!
Anyway, kila la kheri.
Una sh ngapi mzee baba? Mana Mzigua ni mtu wa viwanjaMzigua90 njoo huku please,Valentine day sina chura ya kutoka nayo out!
Rafiki mimi ni baba wa Taifa wa viwanja![emoji4][emoji4][emoji4]Una sh ngapi mzee baba? Mana Mzigua ni mtu wa viwanja
Basi umempata wahi folen pm tar 14 sio mbaliRafiki mimi ni baba wa Taifa wa viwanja![emoji4][emoji4][emoji4]
Tatizo amefunga pm![emoji44][emoji44][emoji44]Basi umempata wahi folen pm tar 14 sio mbali
Inna please be my valentine dear [emoji56]Ndo uongee kikubwaa na Mzigua90
Ohooo asante Mungu hatimaye na mimi nmepata valentine wanguInna please be my valentine dear [emoji56]
uwe na chura au usiwe nayo doesn't matter sina vigezo kwako zaidi ya jina lako tu, najua ni ID fake but i only need you, it must be you! [emoji17]
Sasa mbona sifa zako ni chache kuliko za huyo unayemtafuta? Wewe una hofu ya Mungu? Una upendo wa dhati?Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
Thanks dear, usisahau tukutane tar 14 hata humuhumu JF tu will be a honor to have your company[emoji39] [emoji56]Ohooo asante Mungu hatimaye na mimi nmepata valentine wangu
I will b ur valentine my dear
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Thanks dear, usisahau tukutane tar 14 hata humuhumu JF tu will be a honor to have your company[emoji39] [emoji56]
Rafiki Valentine day sijui hata nitapata wapi chura!....Valentine day bila chura siku yangu itaharibika!
[emoji23][emoji23][emoji23]!......You made my day madam!Ukikosa koote uje kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23]!......You made my day madam!
J5 nitakusubiri baadae ya kukosa koote sawa?[emoji23][emoji23][emoji23]!......You made my day madam!